Bora asipate ili apumzikeKumbe ukiwa na hela wewe itakutesa sana maana hutopumzika kabisa
Post sent using JamiiForums mobile app
Kabisa maana atakufa kabla ya siku zakeBora asipate ili apumzike
Tarehe gani zilizokaribia labda kama ni mzee wa salary advancenikiwa na hela lini tena wakati tareh ndo zinakaribia[emoji23][emoji23][emoji23]
I BLNG 2 JESUS CHRST
Basi makaburi yangejaaa wenye nazo ...nadhan hamjamwelewa mtoa mada .. Anachomaanisha ni refreshment na enjoyment tu ...Kabisa maana atakufa kabla ya siku zake
Nimemuelewa sana shida yake anatamani vitu vingi sana hilo ndio tatizoBasi makaburi yangejaaa wenye nazo ...nadhan hamjamwelewa mtoa mada .. Anachomaanisha ni refreshment na enjoyment tu ...