Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 118
Raha inapatika kwa kulamba!
Si ushawahi lamba asali weye!?
Basi lamba na chumvini na sio kwenye chombo kilichotiwa chumvi.
Kisima,
Alambe kisimani!!??... Bakulini? Kisahanini?
Au,Sehemu yenye kufanana na jina lako?.....
Duniani shida tupu mkuu.....hata ukiwa milionea.....well, mtu anapata kulamba laha hapa na pale...lakini mhh, yataka moyo.
JF kweli sasa inatumika kuondoa frustration!! Matafrani ya maisha au vipi wadau???
Haya, Maalim Jumar fata ushauri ulopewa;"Basi lamba na chumvini na sio kwenye chombo kilichotiwa chumvi"
Ukiipata raha urudi utudokeze na sisi ni wapi uliporamba!!
Kwakweli hata mi nakubaliana na kulamba...hata unapogundua mahali hasa pa kulamba
mmmhh mie kutekenywa ...
lakini zote napokea...
na kila kipengele kinautamu wake....
Raha ipo kwa wanao inyonya bwana . . .
Kutekenywa iwe wapi?
haya jamani mi sipo,
mmhh popote...
Hakuna palipo zaidi?
mmmhh mie kutekenywa ...
lakini zote napokea...
na kila kipengele kinautamu wake....