Ili ndio tatizo la kuamka na njaaUnajua bwana kila kitu kina Raha na Karaha zake, sasa kupanga na kuishi ndani ya chumba kimoja, kuna Raha na Karaha zake pia.
Kwa ufupi Karaha zake ni kama pale itokeapo ukapata ugeni jinsia tofauti na wewe (siyo mpenzi wako) hapo lazima kichwa iwake.
Tukirudi kunako Raha za kupanga chumba kimoja, Raha ni nyingi, ila Raha na Furaha iliyo kuu ni pale unapoamka asubuhi, YAANI VITU VYAKO VYOTE UNAVIONA.
DUUH.
Hahahaa. Sawa rafiki. Hivyo na weye ni mpenzi wa chumba kimoja?unaguna ... raha ya chumba kimoja, hupati taabu ya usafi kama mjumba mzimaa... tena chumba kimoja kiwe kinajitegemea kwa kila kitu ...
Nlikuwa najiuliza unaitwa shaadya au shadeeya. I took the trouble and went to check it. Ohhh! What a beautiful and meaningful name. I even thought of calling my daughter ShaadeyaDUUH.
Hapana ninapinga hoja. Ukiwa na discipline unaweza. Baada ya kula unaosha vyombo, sufuria ya ugali unaosha juu unabakiza ule ukoko wa chini tu. mboga iliyobaki unaifunika kwenye container.Chumba kimoja? Labda uwe unakula hotel, ila kama maswala muhimu yote unamalizia humo, mende hakosekani na harufu za ajabu ajabu, kuanzia boxer mpaka viporo
Hahahaa. Sawa rafiki. Hivyo na weye ni mpenzi wa chumba kimoja?
Hapana ninapinga hoja. Ukiwa na discipline unaweza. Baada ya kula unaosha vyomba, sufuria ya ugali unaosha juu unabakiza ule ukoko wa chini tu. mboga iliyobaki unaifunika kwenye container.
Duuh! Sio mbaya Mkuu kama itatokea na Mama yake likamvutia.Nlikuwa najiuliza unaitwa shaadya au shadeeya. I took the trouble and went to check it. Ohhh! What a beautiful and meaningful name. I even thought of calling my daughter Shaadeya
Tunaishi hivyo wangu, tena tume up grade kila chumba kina jiko la gesi na mtungi wake. Kwenye corridor labda kukaanga samaki tu kwani wana shombo. Shangaa wewe fire extinguishers hatuzijui lakini tunalala na mabomu.Nami napinga hoja, raha ya chumba kimoja kuwe na kitanda , sehemu ya kuifadhia nguo... ndani ya chumba kimoja kupika ni hatari, unaweza choma nyumba ya watu...