Raha ya milele umpe ee Bwana...apumzike kwa amani.

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
2,696
Reaction score
740
Nasikitika kutangaza msiba wa kipenzi changu Mwaka 2010. Marehemu kaacha madeni kibao. Kama kuna mtu anadaiwa na marehemu naomba anijulishe. Kikao cha wana ndugu kitakutana tarehe 15 Januari 2011 kujadili mustakabali wa familia.

Raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani.

Amina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…