CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 558
- 2,093
Safari ilikuwa tar 11 Dec kuamkia 12 Dec
Gari, Toyota Allion 1.8L
Wese la laki 2 tu Dar_Shy
Safari ilianza saa 12 jioni, hadi saa 12 alfajiri.
Wadau wengi nilikutana nao barabarani, wakienda maeneo mbali mbali, karagwe, kahama, Mwanza, bukoba, kwa hyo ilikuwa mwendo wa kupeana kampani tu na kusindikizana.
Barabara iko wazi sana, kweupeee hakuna Tochi wala vizingiti..
Speed ni 100 kwa 120.
Tahadhari, ni Umakini mkubwa unahitajika na ukisikia dalili yoyote ya Usingizi park gari ulale. Maroli pia yanapark ovyo barabarani ni muhimu sana kuyaangalia kwa umakini.
Otherwise safari inakuwa tamu sana na unajikuta tu umeshafika sehem kwa muda mfupi sana. Hali ya hewa iko cool barabara imepoa na hakuna Makelele.
Share uzoefu wako hapa pia.
Gari, Toyota Allion 1.8L
Wese la laki 2 tu Dar_Shy
Safari ilianza saa 12 jioni, hadi saa 12 alfajiri.
Wadau wengi nilikutana nao barabarani, wakienda maeneo mbali mbali, karagwe, kahama, Mwanza, bukoba, kwa hyo ilikuwa mwendo wa kupeana kampani tu na kusindikizana.
Barabara iko wazi sana, kweupeee hakuna Tochi wala vizingiti..
Speed ni 100 kwa 120.
Tahadhari, ni Umakini mkubwa unahitajika na ukisikia dalili yoyote ya Usingizi park gari ulale. Maroli pia yanapark ovyo barabarani ni muhimu sana kuyaangalia kwa umakini.
Otherwise safari inakuwa tamu sana na unajikuta tu umeshafika sehem kwa muda mfupi sana. Hali ya hewa iko cool barabara imepoa na hakuna Makelele.
Share uzoefu wako hapa pia.