Raha za kuishi Dar es Salaam

Raha za kuishi Dar es Salaam

Anita Kajembe

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2021
Posts
215
Reaction score
487
Dar es Salaam ni mji wenye mchanganyiko wa makabila, kutokana na shughuli za kibiashara za mji huu na mengineyo. Dar unaweza kupata chakula cha aina yeyote unachokijua duniani.

Kuna migahawa ya Wanigeria, huko konono wa kukaanga ni deli-case.

Kuna migahawa ya watu wa Kusini, huko samaki nchanga aliyenona anaanzia sh 5,000.

Kuna pilau tamu hasa sehemu za Magomeni, bila kusahu urojo Kigamboni.

Ugali wa mhogo na mlenda unapata mjini Dar sijasahau kitimoto na mtori.


Uzuri wa Dar es Salaam, chakula ni nadra kubaki kwenye mgahawa. Una uhakika wa kupata chakula fresh mara nyingi kwenye migahawa.
 
Dar es Salaam ni mji wenye mchanganyiko wa makabila, kutokana na shughuli za kibiashara za mji huu na mengineyo. Dar unaweza kupata chakula cha aina yeyote unachokijua duniani.

Kuna migahawa ya Wanigeria, huko konono wa kukaanga ni deli-case.

Kuna migahawa ya watu wa Kusini, huko samaki nchanga aliyenona anaanzia sh 5,000.

Kuna pilau tamu hasa sehemu za Magomeni, bila kusahu urojo Kigamboni.

Ugali wa mhogo na mlenda unapata mjini Dar sijasahau kitimoto na mtori.


Uzuri wa Dar es Salaam, chakula ni nadra kubaki kwenye mgahawa. Una uhakika wa kupata chakula fresh mara nyingi kwenye migahawa.
Dar kwa vyakula noma sana
 
Na kuna matunda mwaka mzima haijalishi ni msimu gani, matunda ya kila aina mpaka mengine unajiuliza ni manini hayaa.
Aiseee ama kweli penye wengu pana mengi.
 
Na kuna matunda mwaka mzima haijalishi ni msimu gani, matunda ya kila aina mpaka mengine unajiuliza ni manini hayaa.
Aiseee ama kweli penye wengu pana mengi.
Wangine matunda kama fenesi wamekula Dar, huko kwao hawayafahamu.
 
Shida ya dar ndo ivo tena unapiga kamoko unalala ila nikirudi mkoani nakula ugali wa mahindi ulichanganywa udaga la mwidebe na sangara wa kuchemsha chuku chuku napiga show ya muda mrefu raundi za kutosha.
 
Anita wapi nitapata samaki nchanga kwa Dar?
 
Shida ya dar ndo ivo tena unapiga kamoko unalala ila nikirudi mkoani nakula ugali wa mahindi ulichanganywa udaga la mwidebe na sangara wa kuchemsha chuku chuku napiga show ya muda mrefu raundi za kutosha.
Utakuwa Mruri pure wewe!! tena wa kuleee Bwai kwitururu kabisa!! hukoo mwisho wa nchi!! BUsi pekee la abiria kufika huko ni lile la Dedani!!!au tumaini bus service ila nasikia kafilisika huyu mzee!
 
Dar es Salaam ni mji wenye mchanganyiko wa makabila, kutokana na shughuli za kibiashara za mji huu na mengineyo. Dar unaweza kupata chakula cha aina yeyote unachokijua duniani.

Kuna migahawa ya Wanigeria, huko konono wa kukaanga ni deli-case.

Kuna migahawa ya watu wa Kusini, huko samaki nchanga aliyenona anaanzia sh 5,000.

Kuna pilau tamu hasa sehemu za Magomeni, bila kusahu urojo Kigamboni.

Ugali wa mhogo na mlenda unapata mjini Dar sijasahau kitimoto na mtori.


Uzuri wa Dar es Salaam, chakula ni nadra kubaki kwenye mgahawa. Una uhakika wa kupata chakula fresh mara nyingi kwenye migahawa.
Dar ni sehemu pekee unaweza kula kimasihara bila tatzo lolote
 
Back
Top Bottom