Raha za kuparamia mwenzio Mugongo mnapokuwa matembezeni

Raha za kuparamia mwenzio Mugongo mnapokuwa matembezeni

Kisu kiko wapi wajameni, washa moto chap chap, asikimbie huyooo !! kimbiza kamataaa!!! aaahhhhMMM1!!
 
Mbona hawa wanyama ni tofauti? Kwani kwa kawaida hawa wanyama ni marafiki? Mbona naona urafiki wao ni wa kinafiki kama wa Kikwete na wapiga kura

Ngedere kamfuga huyo Kitibaridi! hapo wapo wapo mtaani.:smiling:
 
Mbona hawa wanyama ni tofauti? Kwani kwa kawaida hawa wanyama ni marafiki? Mbona naona urafiki wao ni wa kinafiki kama wa Kikwete na wapiga kura

Yes, mara nyingi nyani hupenda kuwa pamoja na nguruwe pori na ngiri. Nguruwe huwa wanaamini kuwa karibu na nyani ni salama kwao. kwanza kutokana na wanyama wakali na hata madawa ya porini. Nyani huweza kutibu nguruwe wanapokuwa na tatizo. sijajua nyani wao huwa wanabenefit nini kuwa karibu na hawa wanyama. but so far I know that, I have seen that several time and thic pics is real and so common in jungles.
 
Yes, mara nyingi nyani hupenda kuwa pamoja na nguruwe pori na ngiri. Nguruwe huwa wanaamini kuwa karibu na nyani ni salama kwao. kwanza kutokana na wanyama wakali na hata madawa ya porini. Nyani huweza kutibu nguruwe wanapokuwa na tatizo. sijajua nyani wao huwa wanabenefit nini kuwa karibu na hawa wanyama. but so far I know that, I have seen that several time and thic pics is real and so common in jungles.

naaaam

abiziani.............................................
 
Back
Top Bottom