Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaaaaaaah!Kisu kiko wapi wajameni, washa moto chap chap, asikimbie huyooo !! kimbiza kamataaa!!! aaahhhhMMM1!!
Kisu kiko wapi wajameni, washa moto chap chap, asikimbie huyooo !! kimbiza kamataaa!!! aaahhhhMMM1!!
Mimi tayari nina ndimu,chumvi,limao,ukwaju,pilipili mbuzi,na carton ya Valeur
Plus kitunguu, nyanya, hoho, kabichi kwa ajili ya kachumbari....weweee!!!
Akipatikana murembo na sehemu ya malazi...siku imeisha
Mbona hawa wanyama ni tofauti? Kwani kwa kawaida hawa wanyama ni marafiki? Mbona naona urafiki wao ni wa kinafiki kama wa Kikwete na wapiga kura
wakuu tusisahau kitunguu saumu na tangawizi si mnajua tena kukaushia itoe maji?plus kitunguu, nyanya, hoho, kabichi kwa ajili ya kachumbari....weweee!!!
Nani atapewa kazi ya kumkaanga maana inahitaji utaalamu!!!!!!wakuu tusisahau kitunguu saumu na tangawizi si mnajua tena kukaushia itoe maji?
wewe nawe... wenyewe wataandamana
Mbona hawa wanyama ni tofauti? Kwani kwa kawaida hawa wanyama ni marafiki? Mbona naona urafiki wao ni wa kinafiki kama wa Kikwete na wapiga kura
Mimi tayari nina ndimu,chumvi,limao,ukwaju,pilipili mbuzi,na carton ya Valeur
Yes, mara nyingi nyani hupenda kuwa pamoja na nguruwe pori na ngiri. Nguruwe huwa wanaamini kuwa karibu na nyani ni salama kwao. kwanza kutokana na wanyama wakali na hata madawa ya porini. Nyani huweza kutibu nguruwe wanapokuwa na tatizo. sijajua nyani wao huwa wanabenefit nini kuwa karibu na hawa wanyama. but so far I know that, I have seen that several time and thic pics is real and so common in jungles.
kwa hiyo weweNI MUUAJI?