Raheem sterling: Kijana aliyekuwa super sub sasa anafukuza mwizi kimya kimya!

Raheem sterling: Kijana aliyekuwa super sub sasa anafukuza mwizi kimya kimya!

sasa anaongoza kwa magoli man city huku akimuacha Aguero,anawafukuzia Salah na Kane kimya kimya.watu hawamuongelei huyu kijana lakini huyu jamaa ni hatari kwenye msimu huu
Guardiola hajui kununua Wachezaji, anajua kutengeneza wachezaji.

Sio Raheem tu, hata Kompany sasahv anacheza one two, hatoi tena mijasho na kupambana hovyo.

Guardiola is a Manager.

 
Guardiola hajui kununua Wachezaji, anajua kutengeneza wachezaji.

Sio Raheem tu, hata Kompany sasahv anacheza one two, hatoi tena mijasho na kupambana hovyo.

Guardiola is a Manager.

Exactly kamanda!
 
Guardiola hajui kununua Wachezaji, anajua kutengeneza wachezaji.

Sio Raheem tu, hata Kompany sasahv anacheza one two, hatoi tena mijasho na kupambana hovyo.

Guardiola is a Manager.

Ila kwa Walker na Jesus kajitahidi kidogo jamaa wanapiga kazi na hata Mendy kabla ya kuumia alikuwa njema.
 
Chagua 3 -wekamzigo
4-1-18
Tottenham gg
Barcelona gg
Espanyola gg
Reno gg
 
Back
Top Bottom