Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Gazeti la RAI - NGUVU YA HOJA -linalomilikiwa na ROSTAM AZIZ mmoja wa makada wa CCM ambaye jina lake limekuwa likihusishwa na ufisadi mkubwa mkubwa tu hapa nchini limedai kwenye makala yake ya wiki hii iliyotoka leo ya kuwa.......................
Marekani na Ulaya ndizo zinavuruga nchi na ya kuwa zimemwaga hela kibao kwa ajili ya kufanikisha mradi wa katiba mpya................................
Lengo hapa ni kuonyesha ya kuwa watanzania hawaihitaji katiba mpya ila ni vibaraka wa ukoloni mambo leo na mabwana zao huko nje ndiyo wanaidai katiba hiyo tajwa..............
Mbinu hizi hazina hata harafu ya NGUVU YA HOJA bali ni HOJA YA NGUVU tu........ya kutetea mfumo uliopo ambao ndiyo umemnemeesha ROSTAM AZIZ hadi akawa na kiburi cha kukata na shoka cha kufanya atakavyo bila ya taasisi za utawala bora kuwa na ubavu wa kumwaadibisha..............
Pole sana ROSTAM................Tanzania is bigger and better without your interferences.......................
Marekani na Ulaya ndizo zinavuruga nchi na ya kuwa zimemwaga hela kibao kwa ajili ya kufanikisha mradi wa katiba mpya................................
Lengo hapa ni kuonyesha ya kuwa watanzania hawaihitaji katiba mpya ila ni vibaraka wa ukoloni mambo leo na mabwana zao huko nje ndiyo wanaidai katiba hiyo tajwa..............
Mbinu hizi hazina hata harafu ya NGUVU YA HOJA bali ni HOJA YA NGUVU tu........ya kutetea mfumo uliopo ambao ndiyo umemnemeesha ROSTAM AZIZ hadi akawa na kiburi cha kukata na shoka cha kufanya atakavyo bila ya taasisi za utawala bora kuwa na ubavu wa kumwaadibisha..............
Pole sana ROSTAM................Tanzania is bigger and better without your interferences.......................