Haya Mkuu gorgeousmimi Nitajie dawa zangu hizi kwa lugha ya kiingereza na Mkuu Globu Nitajieni Hizi dawa zangu kwa Lugha ya Kiingereza:
1.Bakalhad
2.manimani
3.Ubani dhukra
4.Mustaki
5.kungu Manga
6.Habbati soda
7.Sufa
8.Kakila
9.Makul arzak (buma)
10.Basbas jauza
11.Halilinji
12.Balinji
13.Albinji
14.Daarfilfil
15.Haltiti
16.Udi karaha
Haya Mkuu gorgeousmimi Nitajie dawa zangu hizi kwa lugha ya kiingereza na Mkuu Globu Nitajieni Hizi dawa zangu kwa Lugha ya Kiingereza:
1.Bakalhad
2.manimani
3.Ubani dhukra
4.Mustaki
5.kungu Manga
6.Habbati soda
7.Sufa
8.Kakila
9.Makul arzak (buma)
10.Basbas jauza
11.Halilinji
12.Balinji
13.Albinji
14.Daarfilfil
15.Haltiti
16.Udi karaha
Mkuu MziziMkavu nimepata moja tu manemane=myrrh (commiphora abyssinica). Zingine holaa..... Nimeshindwa. Nakupa mji, nenda Makka ukahiji ukirudi uje na majibu.
NI TOPIC NYETI KWA WALE TUSIOJUWA LIST HII INGEBORESHWA ZAIDI kuna mpaka van~van
Uzile kuna watu hawauelewi wanaita bizari ya pilau ndo mana mie natumia sana neno bizar ya pilau tena nakumbuka wewe ndio ulionifunza
Kungu manga-pomegranateMkuu me hapo najua mbili tu...
Kungu manga - nutmeg
Habbat soda - black seeds
Kungumanga siyo pomegranatekungu manga-pomegranate
Hivi ni Kokomanga au "Komamanga"?Kungumanga siyo pomegranate
kungu Manga ni mbegu moja kubwa kubwa kiasi,
pomegranate ni tunda moja lenye mbegu nyingi nyingi(kokomanga)
Asante!Uzile ni cumin mpendwa na corriander ni giligiliani!
Mnanaa.Mint =nanaa
Hivi kungu manga ndo huitwa pia koma manga? Manake hiyo pomegranate najua ni koma manga. Tujuzane tafadhalikungu manga-pomegranate
Uzile ni cumin seedsMdalasini=cinamon
Tangawizi= ginger
Pilipili manga=black pepper
Cardamon= hiliki
Cirnamon= mdalasini
Coriender=uzile
Wengine watakuja kuongezea.
Kungu manga ni nutmeg.huwa ina kokwaHivi kungu manga ndo huitwa pia koma manga? Manake hiyo pomegranate najua ni koma manga. Tujuzane tafadhali