Narejea kulekule,sio kosa lao rai.tatizo wanashinikizwa na boc wao RA.Watanzania tufike mahala tujiulize je mafisadi wanafurahia juhudi za CHADEMA kupambana na ufisadi?kama hawafurahii basi ni dhahiri kabisa watatumia njia yeyote wawezayo kuhakikisha wanaua mapambano yanayoendelea dhidi ya ufisadi.
Hahaha Yebo Yebo,Tanzania kweli tumefika Hapa...??
Na mtu wa kwanza kunifahamisha kuwa kuna article ndani ya RAI imeandikwa ndivyo sivyo (kwa njia ya barua pepe) ni insider na member wa JF ambaye yumo humu kila kukicha, anaelewa the issue behind these stories!JF inatumika kumchafua Kikwete?!?!?! Oh! Nadhani that is one of the reasons why inv. amekuwa speechless
Huu ni mpambano wa vyama kupitia vyombo vya habari.Sikutegemea kama Rai wangeweza kujiweka wazi kiasi hiki kuwa linapigia upatu ccm na serikali yake kwani usipokuwa makini unaweza kufikiri unasoma Uhuru. Ya kwetu majicho
Nimesoma RAI tangu kifo cha WANGWE hawa jamaa kwenye frontpage au maoni ya mhariri lazima waandike habari za kuibomoa CHADEMA ngoja nikusanye nakala ya heading nitaziandika muone wenyewe
Mhariri Mkuu wa Rai ni BALILE,na ndiye aliyeandika tahariri hiyo.Alikuwa member wa JF,nadhani hadi sasa,wakati anasoma hapa Hull.Sasa wandugu,zama za kulalamika bila vitendo zimepitwa na wakati.Huyu jamaa anatumia gazeti lake kuikashifu JF na kuibebesha tuhuma nzito ambazo kama tutazikalia kimya zinaweza kuonekana kuwa ni facts.
Mawazo jamani,tumfanye nini huyu Balile?
Mhariri Mkuu wa Rai ni BALILE,na ndiye aliyeandika tahariri hiyo.Alikuwa member wa JF,nadhani hadi sasa,wakati anasoma hapa Hull.Sasa wandugu,zama za kulalamika bila vitendo zimepitwa na wakati.Huyu jamaa anatumia gazeti lake kuikashifu JF na kuibebesha tuhuma nzito ambazo kama tutazikalia kimya zinaweza kuonekana kuwa ni facts.
Mawazo jamani,tumfanye nini huyu Balile?
Mawazo jamani,tumfanye nini huyu Balile?
Tufungue kesi mahakamani ili haki itendeke... au kama kufanya hivyo tunaona tunachelewa tuchukue Dr Slaa's Mwembeyanga style!