Rai: Serikali ifanye uchunguzi wa haraka Mkoa wa Kilimanjaro na kuyeyuka theluji mlimani. Yawezekana ni Sabotage

Rai: Serikali ifanye uchunguzi wa haraka Mkoa wa Kilimanjaro na kuyeyuka theluji mlimani. Yawezekana ni Sabotage

Kididimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
4,153
Reaction score
3,800
Joto linalotishia mazingira ya asili ya Mlima Kilimanjaro ni questionable! Ongezeko la joto hadi 40+ kwa siku za karibuni ni kiashiria cha mpasuko mkubwa wa Ozone layer kwa anga linaloambatana na eneo hilo. Kwa uelewa wangu mdogo wa kinachoitwa"global warming" na effects zake siyo regional centred.

Nikiwa na maana effects zake hazina justification ni kwa nini Kilimanjaro zaidi na siyo pengine.
Kuna tetesi ziliwahi kutolewa na Wananchi siku za nyuma kuwa Kilimo cha maua kinahitaji sehemu baridi na isiyonyesha mvua. Sina uhakika na hilo,lakini jambo likitetwa ni vizuri kuchukua hatua.

Pia tujue Hayati Dr. Magufuli aliwahi kusema tuko kwenye vita ya kiuchumi. Haiyumkini, Mlima Kilimanjaro na ujio wa watalii kwa wingi unazivuruga nchi baadhi,kuwa usingekiwepo,mapato yangekuja kwetu.

Naomba tusipuuze hili.
 
Jamani maoni mengine utafikiri mtu ana bweha kichwani, Africa kuna nchi zaidi ta 54 sasa Tanzania tuna uchumi gani paka tupigwe vita? Kadri zetu ni Rwanda, Burundi na Uganda hata na Malawi sasa hao ndo wana weza kutupiga vita? Yani uwongo wa yule jamaa ndo umewaingia vichwani mwenu hivi
 
Mbona hueleweki ndugu, hiyo aya ya pili na hizo nyingine zina maudhui yanayopingana.

Joto limeongezeka kote nchini au wewe hujazunguka? Yaani watuhujumu kwa kusababisha "local global warming" kwanza haitakuwa "global" tena.

Hebu fuatilia vizuri hicho kinachoitwa global warming kinatokeaje kwanza kabla ya yote.
 
Back
Top Bottom