Rai; Tupanue wigo wa Mapishi

Rai; Tupanue wigo wa Mapishi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Wadau wa hii forum tumekuwa wachoyo na wabinafsi kwa kujifikiria sisi wenyewe watu wazima na kusahau kabisa wana wetu ambao ni taifa na nguvu kazi ya kesho wengi wetu tuna watoto ambao tunawaacha na wadada wa kazi kwa siku nzima ni vyema pia tukawa na post zinazohusu jinsi ya kuandaa lishe bora kwa watoto wetu tunaowapenda sana
 
Mshana hebu edit haraka hiyo sentensi ya pili

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Tuendelee na mjadala...

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
afadhali waungwana hawajaona! ok lete maoni yako katika hilo

Naanza na breakfast

1 -2 slice of brown bread with peanut butter pamoja na maziwa warm unamuekea na tunda moja kama ndizi au strawberries.... Kwa vile maziwa ni good for their bones

Au waweza muandalia cheerios na maziwa




Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Diner

Viazi+vegetable+nyama... Ushushie na chai ya maziwa ama maji......

Unachemsha nyama ikikaribia kuwiva una weka karot na pilipili mboga,mixed vegetable nyengine kama mahindi machanga au njegere....

Chemsha viazi vikiwiva mimina kwenye soup....


Baina ya hiyo milo anaweza kula vitu vidogo vidogo wapendavyo kama popcorn,chocolate,ice cream n.k

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
diner

viazi+vegetable+nyama... Ushushie na chai ya maziwa ama maji......

Unachemsha nyama ikikaribia kuwiva una weka karot na pilipili mboga,mixed vegetable nyengine kama mahindi machanga au njegere....

Chemsha viazi vikiwiva mimina kwenye soup....


Baina ya hiyo milo anaweza kula vitu vidogo vidogo wapendavyo kama popcorn,chocolate,ice cream n.k

sent from my blackberry 9320 using jamiiforums

ni nzuri sana hasa hiyo lunch, changamoto ipo kwa mahousegal wetu, ukipata mzuri then u r luck kinyume chake u r done 4 gud
 
Breakfast:
Maziwa au flavoured yoghurt na muesli/oats unaweza kuweka na matunda kama ndizi,embe au strawberries au matunda mengineyo.Unaweza kutengeneza flavoured yoghurt mwenyewe kwa kupiga mtindi na matunda/tunda upendayo na sukari au asali kidogo.
220px-Fresh-muesli.jpg220px-Muesli.jpg
1 glass orange juice(fresh)
AU
  • French toast,mkate ulochovya kwenye mchanganyiko wa mayai na kukaangwa
  • sausage mbili zilizokaangwa,
  • kipande cha nanasi na tikiti maji
  • glasi ya maziwa
Lunch
Spagetti/macarroni na mchuzi wa nyama ya kusaga.
Mchuzi wa nyama ya kusaga:
  • Nyama ya kusaga 1/2 kilo,weka kitunguu saumu na tangawizi kijiko kimoja cha chai na uichanganye vizuri,ongezea chumvi na pilipili manga.
  • Kaanga kitunguu kimoja kilichokatwakatwa kwenye mafuta kiasi,kikibadilika rangi na kuwa hudhurungi weka nyama ya kusaga na uikaange nayo mpaka iive.
  • Weka mbogamboga kama Karorti na viazi zilizokatwa vipande(boxes) ,njegere zilizomenywa,kaanga kwa dakika tano viive,
  • Weka nyanya tano zilizomenywa na katwakatwa au zisage kwenye blenda na maji kidogo.Funika na wacha uchemke,
  • Ukikaribia kuiva weka pilipili mboga na majani ya korriander,adjust chumvi
spagetti andmeat sauce.jpg
Unaweza kusev huo mchuzi wa nyama ya kusaga pia na mashed potatoes au wali au upike mchuzi wa nyama ya kawaida
MASHED POTATOES

  • chukua viazi kadhaa kama vinne vinne vimenye kisha vichemshe na chumvi.
  • Vikiiva vimwage maji kisha viponde mpaka vilainike.
  • Weka maziwa na siagi ili kuongezea ladha huo mchanganyiko wako.
mashed potatoes.jpg

AU
Lasagne,mchuzi kama wa nyama ya kusaga lakini unahitaji lasagne plates pamoja na cheese.
lasagne.jpg
Serve dinner pamoja na fresh salad na maji kama kinywajia

Supper/mida ya saa kumi

Sahani ya matunda tofauti yalokatwa vipandepande(FRUIT SALAD).Au tengeneza fruit smoothie ya matunda mchanganyiko kama mananas,maembe,machenza,n.k piga na juice ya apple au nyingeneyo.
FRUIT SALAD.jpgfruit smoothie.jpg

Dinner
Pancakes with strawberries and cream and honey
Pancakes
Mayai 4
Unga wa ngano 60g
1/2 cha chumvi
Kijiko kimoja cha chai cha vanilla sugar
Maziwa 1/2 dl
Vijiko vitatu vya siagi iloyeyushwa
300g cottage cheese
Vikishaiva weka cream,strawberry na asali juu ya pancake tayari kwa kuliwa

pancakes.jpg
Serve na maziwa ya vuguvugu au passion fruit juice.
AU
Viazi vya kuchoma na kuku/vipapatio vya kuku
Osha viazi /ukipenda menya na ukate boats mapande mapana tu vichemshe kama dakika 5 na chumvi,kisha nyunyizia mafuta na uvibake kwenye oven mpaka viive na vibadilike rangi.
Weka viungo uvipendavyo kwenye kuku au vipapatio na uvichome kwenye oven pia
kyllimg vinger.jpgimg_8622.jpg
Serve pamoja na salat ya matango,nyanya na carrot!
 
Naanza na breakfast

1 -2 slice of brown bread with peanut butter pamoja na maziwa warm unamuekea na tunda moja kama ndizi au strawberries.... Kwa vile maziwa ni good for their bones

Au waweza muandalia cheerios na maziwa




Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

hivi vitu vipo na vinapatikana kiurahisi???
 
Breakfast:
Maziwa au flavoured yoghurt na muesli/oats unaweza kuweka na matunda kama ndizi,embe au strawberries au matunda mengineyo.Unaweza kutengeneza flavoured yoghurt mwenyewe kwa kupiga mtindi na matunda/tunda upendayo na sukari au asali kidogo.
View attachment 155270View attachment 155271
1 glass orange juice(fresh)
AU
  • French toast,mkate ulochovya kwenye mchanganyiko wa mayai na kukaangwa
  • sausage mbili zilizokaangwa,
  • kipande cha nanasi na tikiti maji
  • glasi ya maziwa
Lunch
Spagetti/macarroni na mchuzi wa nyama ya kusaga.
Mchuzi wa nyama ya kusaga:
  • Nyama ya kusaga 1/2 kilo,weka kitunguu saumu na tangawizi kijiko kimoja cha chai na uichanganye vizuri,ongezea chumvi na pilipili manga.
  • Kaanga kitunguu kimoja kilichokatwakatwa kwenye mafuta kiasi,kikibadilika rangi na kuwa hudhurungi weka nyama ya kusaga na uikaange nayo mpaka iive.
  • Weka mbogamboga kama Karorti na viazi zilizokatwa vipande(boxes) ,njegere zilizomenywa,kaanga kwa dakika tano viive,
  • Weka nyanya tano zilizomenywa na katwakatwa au zisage kwenye blenda na maji kidogo.Funika na wacha uchemke,
  • Ukikaribia kuiva weka pilipili mboga na majani ya korriander,adjust chumvi
View attachment 155273
Unaweza kusev huo mchuzi wa nyama ya kusaga pia na mashed potatoes au wali au upike mchuzi wa nyama ya kawaida
MASHED POTATOES

  • chukua viazi kadhaa kama vinne vinne vimenye kisha vichemshe na chumvi.
  • Vikiiva vimwage maji kisha viponde mpaka vilainike.
  • Weka maziwa na siagi ili kuongezea ladha huo mchanganyiko wako.
View attachment 155274

AU
Lasagne,mchuzi kama wa nyama ya kusaga lakini unahitaji lasagne plates pamoja na cheese.
View attachment 155272
Serve dinner pamoja na fresh salad na maji kama kinywajia

Supper/mida ya saa kumi

Sahani ya matunda tofauti yalokatwa vipandepande(FRUIT SALAD).Au tengeneza fruit smoothie ya matunda mchanganyiko kama mananas,maembe,machenza,n.k piga na juice ya apple au nyingeneyo.
View attachment 155276View attachment 155277

Dinner
Pancakes with strawberries and cream and honey
Pancakes
Mayai 4
Unga wa ngano 60g
1/2 cha chumvi
Kijiko kimoja cha chai cha vanilla sugar
Maziwa 1/2 dl
Vijiko vitatu vya siagi iloyeyushwa
300g cottage cheese
Vikishaiva weka cream,strawberry na asali juu ya pancake tayari kwa kuliwa

View attachment 155275
Serve na maziwa ya vuguvugu au passion fruit juice.
AU
Viazi vya kuchoma na kuku/vipapatio vya kuku
Osha viazi /ukipenda menya na ukate boats mapande mapana tu vichemshe kama dakika 5 na chumvi,kisha nyunyizia mafuta na uvibake kwenye oven mpaka viive na vibadilike rangi.
Weka viungo uvipendavyo kwenye kuku au vipapatio na uvichome kwenye oven pia
View attachment 155280View attachment 155281
Serve pamoja na salat ya matango,nyanya na carrot!

hii unamaliza siku nzima kupika tu???halaf naona kama Bongo haiwezekan
 
hii unamaliza siku nzima kupika tu???halaf naona kama Bongo haiwezekan

Kwanini isiwezekane hakuna hivo vitu nilivyovitaja au?Ukienda supermarket utavipata vyote :A S angel:na haupiki vyote una chagua mlo mmoja katika each part
 
Diner

Viazi+vegetable+nyama... Ushushie na chai ya maziwa ama maji......

Unachemsha nyama ikikaribia kuwiva una weka karot na pilipili mboga,mixed vegetable nyengine kama mahindi machanga au njegere....

Chemsha viazi vikiwiva mimina kwenye soup....


Baina ya hiyo milo anaweza kula vitu vidogo vidogo wapendavyo kama popcorn,chocolate,ice cream n.k

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

asante mama wa mapishi, mimi nakupendea hapo tu....
 
Back
Top Bottom