Hii ilikuwa rai ya Rais kwa viongozi wa soka nchini. Kuandaa mazingira mazuri ya wachezaji wetu kustaafu hasahasa wachezaji wa kike. Aliumia wachezaji wanapostaafu na kugeuka ombaomba.
Kama taifa imefika wkt tuachane na interview za wachezaji wa zamani wakiomba msaada ilhali tunasema enzi zao waliupiga mwingi.