Pre GE2025 Rai yangu kwa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa mwaka huu 2025

Pre GE2025 Rai yangu kwa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa mwaka huu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Binafsi nadhani CHADEMA wajiandae kwa uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025. Kinachotakiwa ni wao kubadilika na kufanya kazi kubwa ya kubadilisha mindset za Watanzania.

Kuendelea kulalamika kwamba tunaibiwa kura wakati hakuna hatua tunazochukua haijakaa vizuri hata kidogo.

Mimi naamini, kama tungewachukulia hatua kali walioshiriki kuiba au kuhujumu zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2024 hata 300 Nchi nzima, uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ungefanyika vizuri kwa asilimia kubwa.

Watu wangeogopa kwamba, ukihujumu uchaguzi na wewe unapata Kinywaji baridi kiasi kwamba hautakuja kusahau kamwe maisha yako yote.

Kwa mfano uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita unakuta wasimamizi wote wa uchaguzi ni wale tunaoishi nao mitaani siku zote lakini wanafanya hujuma za za Uchaguzi na sisi hatuchukui hatua zozote, tunabaki kulalamika tu. Huu ni ujinga.

Ebu nijaribu kuwatungia Sheria za Uchaguzi mkuu mwaka huu 2025.

1. Yeyote atakayezuia mgombea wa upinzani kuchukua au kurudisha fomu ya kugombea, huyo ni kibaka kama kibaka mwingine yeyote yule. Atatakiwa kushughulikiwa immediately tena silently.

2. Yeyote atakayethubutu kuhujumu zoezi la kampeni za Uchaguzi kwa chama cha upinzani, huyo atatakiwa kushughulikiwa immediately.

3. Yeyote atakayethubutu kufanya udanganyifu wa uchaguzi au kutotangaza matokeo halali ya uchaguzi katika Kituo, Kata na Jimbo, huyo atashughulikiwa immediately.

Ikifanyika hivyo mara moja tu, chaguzi zingine zote zitafanyika vizuri kabisa hata kwa Katiba hii hii tuliyo nayo.

Nawasihi tena ndugu zangu CHADEMA, jiandaeni kwa uchaguzi lakini jivueni utu wa zamani na kuuvaa utu upya. Acha kulia lia, chukua hatua madhubuti za kuwashikisha adabu vibaka.
 
Msimamo uleule,
Hamna maridhiano, hamna uchaguzi
FB_IMG_17375279786874649.jpg
 
Mimi naamini, kama tungewachukulia hatua kali walioshiriki kuiba au kuhujumu zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2024 hata 300 Nchi nzima, uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ungefanyika vizuri kwa asilimia kubwa.
CHADEMA ina nini mkononi? Inaweza kumchukulia nani hatua? Je ina mahakama? Je ina Polisi? Je ina Usalama wa Taifa?

Hebu naomba uisome na kuielewa hiyo verse yako niliyoinukuu kisha uihariri, huenda ukaeleweka.
 
CHADEMA ina nini mkononi? Inaweza kumchukulia nani hatua? Je ina mahakama? Je ina Polisi? Je ina Usalama wa Taifa?

Hebu naomba uisome na kuielewa hiyo verse yako niliyoinukuu kisha uihariri, huenda ukaeleweka.
Inawezekana tena vizuri kabisa. Kwani wasimamizi wa vituo huwa wanakuwa na bunduki?
Zaidi sana watalindwa na askari siku moja tu ya kupiga kura, baada ya hapo hawana ulinzi wowote ule. Ipo hivi, ukikabiliwa na watu wengi wakitaka kukusulubu, uwe mpole kwani kwa wakati huo watakushinda tu, baada ya hapo jipe muda kisha anza kudeal na mmoja baada ya mwingine kwa kificho mpaka waishe wote.
 
Chadema hana wabunge ndani ya bunge kuandaa muswada wa marekebisho ya dharura kuhusu uchaguzi huru na haki kuelekea October 2025.Mbunge mmoja sijui anawakilsha CCM hana nguvu ya kusukuma agenda.
Chadema haimo ndani ya serikali,ni chama cha upinzani kinachopitia changamoto nyingi sana.
Tusema ACT Wazalendo,CUF ya Lipumba,NCCR ya Mbatia,TPL,UDP na vyama vingine waungane kumsimamisha mgombea mmoja tu kwenye ubunge,udiwani na uraisi.Bila hivyo si Chadema au chama kingine kitaleta impact uchaguzi mkuu Bara.
 
Binafsi nadhani CHADEMA wajiandae kwa uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025. Kinachotakiwa ni wao kubadilika na kufanya kazi kubwa ya kubadilisha mindset za Watanzania.

Kuendelea kulalamika kwamba tunaibiwa kura wakati hakuna hatua tunazochukua haijakaa vizuri hata kidogo.

Mimi naamini, kama tungewachukulia hatua kali walioshiriki kuiba au kuhujumu zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2024 hata 300 Nchi nzima, uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ungefanyika vizuri kwa asilimia kubwa.

Watu wangeogopa kwamba, ukihujumu uchaguzi na wewe unapata Kinywaji baridi kiasi kwamba hautakuja kusahau kamwe maisha yako yote.

Kwa mfano uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita unakuta wasimamizi wote wa uchaguzi ni wale tunaoishi nao mitaani siku zote lakini wanafanya hujuma za za Uchaguzi na sisi hatuchukui hatua zozote, tunabaki kulalamika tu. Huu ni ujinga.

Ebu nijaribu kuwatungia Sheria za Uchaguzi mkuu mwaka huu 2025.

1. Yeyote atakayezuia mgombea wa upinzani kuchukua au kurudisha fomu ya kugombea, huyo ni kibaka kama kibaka mwingine yeyote yule. Atatakiwa kushughulikiwa immediately tena silently.

2. Yeyote atakayethubutu kuhujumu zoezi la kampeni za Uchaguzi kwa chama cha upinzani, huyo atatakiwa kushughulikiwa immediately.

3. Yeyote atakayethubutu kufanya udanganyifu wa uchaguzi au kutotangaza matokeo halali ya uchaguzi katika Kituo, Kata na Jimbo, huyo atashughulikiwa immediately.

Ikifanyika hivyo mara moja tu, chaguzi zingine zote zitafanyika vizuri kabisa hata kwa Katiba hii hii tuliyo nayo.

Nawasihi tena ndugu zangu CHADEMA, jiandaeni kwa uchaguzi lakini jivueni utu wa zamani na kuuvaa utu upya. Acha kulia lia, chukua hatua madhubuti za kuwashikisha adabu vibaka.
Takataka
 
Lakini mimi bado naamini, kama wangeamua kutafuta haki katika uchaguzi wangeweza kupata hata kama si kwa 100% lakini kwa asilimia kubwa wangepata. Ni kitendo cha kuamua KUFA ili kuendelea na siasa au KUPONA ili kuachana na siasa. Narudia tena, wanaohujumu wagombea wa upinzani si viongozi kutoka ngazi za juu, ni hawa hawa tunaoishi nao mitaani. Kuhujumu uchaguzi ni kuvunja Sheria. Kama wao wanavunja Sheria tena kwa maksudi kabisa. Kama ndivyo, kwa nini yule aliyehujumiwa asivunje sheria kulinda haki yake?
Kwa hiyo, WAHUNI hawa wa uchaguzi wangepata maumivu makali kulingana na uhuni wao, wangekuwa walishaacha muda mrefu kufanya uhuni. Nasisitiza, tuache visingizio, tuchukue hatua madhubuti kuwadhibiti WAHUNI popote wanapopatikana.
 
Back
Top Bottom