Raia Kenya: Nasema kufa dereva, kufa makanga na hashtag inapaswa kuwa #fagiawote

Raia Kenya: Nasema kufa dereva, kufa makanga na hashtag inapaswa kuwa #fagiawote

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766


Wananchi mbalimbali wakitoa maoni na hoja zao wakati wa zoezi la ushirikishwaji wa umma kuhusu hoja ya kumwondoa madarakani Naibu Rais, Rigathi Gachagua leo Oktoba 4, 2024



Aidha, Rigathi Gachagua atapaswa kujitetea Bungeni kwa muda wa Saa 2 ifikapo Oktoba 8, 2024 kwa tuhuma nzito za ufisadi, matumizi mabaya ya ofisi, kufadhili fujo za Gen Z katika #Maandamano, kutoa siri za Serikali na Kuchochea Ukabila

 
Kuna Mkenya mmoja kasema katika idhaa ya Kiswahili ya DW kuwa, kiatu kimoja kikikubana, unavirudisha vyote viwili, hurudishi kimoja 😂😂😂.
 
kete ya kumuondoa naibu rais naona inakwenda vibaya sana kwa ruto, nadhani inabidi aiache vinginevyo naona machafuko yanaweza kutokea tena.
 
Back
Top Bottom