Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini? Kwani Magufuli Mungu?
Kwani adui yako lazima awe adui yangu?Nazidi kuamini..ssh aliishi kinafiki na jpm..ilikua ni suala la muda tu kuonyesha rangi yake halisi..hizi siasa za bongo inabidi uwe pungua ndio uziishi.
#MaendeleoHayanaChama
Unajua kazi ya vice wewe au..yote yanayotendeka serikalini lazma vice ashiriki kikamilifu.Kwani adui yako lazima awe adui yangu?
Kwa makosa yapi?Bila kuwapeleka Mahakamani akina Polepole na Bashiru Mama atakuwa anatwanga maji tu.
Cha ajabu kitu gani, kwani uliona list aliyopanga michael carrick jana? Wale ambao ole gunner alikuwa hawapangi ndio wamepewa nafasi na wamecheza vizuri, that is lifeNazidi kuamini..ssh aliishi kinafiki na jpm..ilikua ni suala la muda tu kuonyesha rangi yake halisi..hizi siasa za bongo inabidi uwe pungua ndio uziishi.
#MaendeleoHayanaChama
Wamekuwa wakigawa rushwa kwa Wapinzani ili waunge mkono juhudi za Marehemu.
Mwigullu, Simbachawene!Hata yeye mwenyewe JPM kuna wengine alikua anawaondoa na kuwarudisha
CCM ni ile ileSophia Mjema na Kafulila hawakutemwa, walijitema wenyewe, walishaambiwa ukienda kugombea ubunge nafasi yako anapewa mtu mwingine, wao wakaamuwa kubet.
Nampongeza sana marehemu kwa hili japo alikuwa shetani lakini msimamo huu ulikuwa sahihi na ndio ulitusaidia kumpoteza Makonda.
Sancho tu pekee yakeCha ajabu kitu gani,kwani uliona list aliyopanga michael carrick jana?wale ambao ole gunner alikuwa hawapangi ndio wamepewa nafasi na wamecheza vizuri,that is life
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mwigullu, Simbachawene!