Raia Mwema - Gazeti Jipya Kabisa la Kiswahili Kuingia Tanzania Kuanzia Tarehe 31 Oktoba


Karibu Raia mwema,

Hiyo list ya waandishi ni kali sana.
I cant wait kuliona.

Mwanakijiji naomba ujibu swali la masatu kama hilo gazeti litakuwa daily au weekly?
 
Nafikiri sasa baada ya kifo cha Rai tutapata gazeti la maana.

Tulikuwa tumekoza Jenerali. halafu sasa tunapata tena watu wapya ambao hawezi kuyumbishwa na MAFISADI (Othmani,Issa nk).
 




Pongezi za dhati kwa waanzishaji wa hili gazeti
Jenerali Ulimwengu
Issa Shivji
Padre Karugendo
Prof. Haroub Othman
Maggid Mjenga
Joseph Mihangwa
na waendelee kuwa raia wema. Bila kumsahau Mtiifu.
 
Kwanza ninawapa hongera waanzilishi wote wa gazeti hilo.ninaimani kuwa watanzania Tunayoipenda nchi yetu tutawaombeeni kwa mungu ili manyang'au wasiwazuru!.
Mungu ibariki Tanzania,
mungu wabariki waanzilishi wa gazeti la raia mwema na wasomaji wake watakaoanza kulisoma
MKJJ,Hongera sana mzalendo wewe!
 
Mie sipendi kukubali ila ukweli; mwenzenu machozi yananilenga...kiu niliyokuwa nayo ya habari zilizoandikwa na waandishi professionals haisemeki mtu akanielewa...yaani ukitaka kupata idea tu; jana asubuhi nilikuwa nasoma kwa mara nyingine TENA makala ya gazeti la Rai toleo la Nov 6, 1996 yenye kichwa "Tukae Chonjo Ubeberu Washambulia Tena" iliyoandikwa na Gregory Lugaila. Yale yaliyoandikwa humo mwaka 1996 na yanayotokea sasa 2007 ndani ya Tanzania ni kama vile kitu halisi mbele ya kioo; inatia majonzi na hasira. Sina la ziada; Hongera kwa wote walioona hili pengo kupata Ujasiri na kuweka Juhudi za kuliziba.

Kila la Kheri "Raia Mwema", Taifa linakuhitaji.
 
Huyu wetu mtiifu jina lake nani? Mbona yeye haweki wazi jina lake?
 
Nimeikubali hii
 

Attachments

  • main3B_03.jpg
    46.6 KB · Views: 78
Ni vizuri watu kuonesha source za info zao zinatoka wapi, sasa kukopy neno kwa neno halafu kujifanya ni maneno yako.. inajina lake kitaaluma...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…