Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Baada ya kutoka na habari motomoto wiki iliyopita (Safari za JK Utata) na nyingine nzito, nimeamka nikikutana na email kibao za watu wakiuliza "Raia Mwema iko wapi". Je kumekuwa na upungufu wa uchapishaji, halikutoka kama imetarajiwa au litatoka late?
Mchuuzi mmoja amedai waliambiwa watapata mchana na sasa ni jioni hawajaliona, Have you seen Raia Mwema today?
Mchuuzi mmoja amedai waliambiwa watapata mchana na sasa ni jioni hawajaliona, Have you seen Raia Mwema today?