Ashasembeko
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 225
- 910
Kweli kabisaNzuri hiyo
Rai yangu wasijisahau mama ni makini haijawahi tokea
Jenerali Ulimwengu & the Co.Gazeti la rostam azizi nafkiri,???!!
Ni la Jenerali Ulimwengu...Gazeti la rostam azizi nafkiri,???!!
Unaongea ujinga gani? Hao kina Kakoko wa bandari ni watu wa sasa au wa mwendazake? Walikua hawali mema ya nchi? FIKIRIA!!Ni mda wa propaganda huu,baada ya kazi ya kuondoa kisiki,,sasa ni kugawana mema ya nchi,
Kama ni jenerali ulimwengu,yupo vzr sana,mpk leo nina nakala zake za miaka ya 94Jenerali Ulimwengu & the Co.
Kuanza kwa magazeti yenye kufanya kazi kwa weledi kunayafanya magazeti ya ndiyo ndiyo kufa kibudu .Nzuri hiyo
Rai yangu wasijisahau mama ni makini haijawahi tokea
Ahsante,lkn ulitakiwa utafakari kwanza kabla ya kunihukumu,upembue hoja niliyoandikaUnaongea ujinga gani? Hao kina Kakoko wa bandari ni watu wa sasa au wa mwendazake? Walikua hawali mema ya nchi? FIKIRIA!!
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Hapana la Rostam Aziz lilikuwa linahitwa RAIGazeti la rostam azizi nafkiri,???!!
Jenerali UlimwenguGazeti la rostam azizi nafkiri,???!!
zile container zenye special account ya kudumu jee?Unaongea ujinga gani? Hao kina Kakoko wa bandari ni watu wa sasa au wa mwendazake? Walikua hawali mema ya nchi? FIKIRIA!!
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app