Raia wa Kenya anayedaiwa kuwa na Corona atelekezwa mpakani Tanzania

Raia wa Kenya anayedaiwa kuwa na Corona atelekezwa mpakani Tanzania

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617



Hii hali inaanza kutisha na kuofya. Hivi wakenya mnaitafuta nini Tanzania?

====
Wakazi wa Holili mkoani Kilimanjaro wametoa taarifa kuhusu raia wa Kenya (Mkikuyu) kutelekezwa mpakani Makuyuni, na baada ya kuripotiwa, Mwanamke huyo amechukuliwa na Maafisa

Baadhi ya watu waliotoa taarifa kuhusu uwepo wa Mwanamke huyo wamelaumu Mamlaka zinazohusika na ulinzi wa mipaka huku wakihoji ni vipi mama huyo ameweza kuingia hadi mpakani wakati inadaiwa ulinzi umeimarishwa

Alipohojiwa, mama huyo aliyetokea Jijini Nairobi amesema anaumwa na alipoulizwa hini hasa kinamsumbua alisema anaumwa kifua na mafua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
joto la jiwe,

Pale ambapo maiti inacheka Mwendo wa kobe; Hakuna uzuri wowote kwa Tanzania kwenye hili gonjwa
 
Afrika mashariki wafanye cooperation prevention measures within EAC. La sivyo tutamtafta mchawi sana.
Bt kwa wenzetu kenya kuweni na akili za kibinadamu
 
Kwa sasa kuingia mji wa Nairobi wenye Huduma bora za Afya nchini kenya ni ngumu kuliko kuingia Tanzania!!
Unategemea nini
 
Kwa sasa kuingia mji wa Nairobi wenye Huduma bora za Afya nchini kenya ni ngumu kuliko kuingia Tanzania!!
Unategemea nini
 
Afrika mashariki wafanye cooperation prevention measures within EAC. La sivyo tutamtafta mchawi sana.
Bt kwa wenzetu kenya kuweni na akili za kibinadamu
Mtafanyaje cooperation wkt kuna nchi kama Burundi yenyewe ni ya vichaa,imetangaza ligi ya mpira wa miguu itaendelea kama kawaida.
 
Back
Top Bottom