20 May 2022
Dar es Salaam, Tanzania
Kufuatia mfululizo wa vitendo vya kikatili dhidi yao, raia wa Malawi walalamika juu ya baadhi ya waTanzania kuwafanyia ukatili
ukiwemo mfululizo wa mauaji.
Wakielezea kwa uchungu kuwa sasa sifa ya waTanzania inaanza kuchafuliwa na vitendo hivyo vinavyofanywa na waTanzania wachache, hivyo vyombo husika vya dola Tanzania wafanyie kazi na kuwafikisha wahusika mahakamani.
Source: Millard ayo
Dar es Salaam, Tanzania
Kufuatia mfululizo wa vitendo vya kikatili dhidi yao, raia wa Malawi walalamika juu ya baadhi ya waTanzania kuwafanyia ukatili
ukiwemo mfululizo wa mauaji.
Wakielezea kwa uchungu kuwa sasa sifa ya waTanzania inaanza kuchafuliwa na vitendo hivyo vinavyofanywa na waTanzania wachache, hivyo vyombo husika vya dola Tanzania wafanyie kazi na kuwafikisha wahusika mahakamani.
Source: Millard ayo