Raia wa Rwanda 2 wakutwa wamefariki Uganda

Raia wa Rwanda 2 wakutwa wamefariki Uganda

Lakini pia wiki 2 zilizopita Kuna raia mmoja wa Uganda alikutwa ameuwawa katika wilaya moja ambayo ipo mpakani mwa Rwanda.
 
Kheeeeeeee
Unamjua lakini M7?



Mr slim akasome pia ana wa Afghanistan kwake ni kitendo Cha sekunde kuwa tumia kummaliza na kusingizia hausiki

Rwanda imepokea wanafunzi wa kike 250 tu waliokua shule ya boarding pekee huko Afganistan,wanaweza wakafanya nini hao?Uganda imepokea watu 51 kutoka afghanistan.
 
Hio ni kawaida,kama vipi wapigane tena kama walivyopigana kisangani.
Mkuu kupigana sio suluhisho, mi kwangu naona m7 Hana imani Tena PK , so Cha muhimu labda raia wa rwanda kujiangalia tuu wanapotaka kwenda Uganda kwenye shughuli yeyote.
 
Back
Top Bottom