Tetesi: Raia wa Uturuki apigwa risasi na majambazi Sinza karibu na Palestina

Tetesi: Raia wa Uturuki apigwa risasi na majambazi Sinza karibu na Palestina

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Kuna tetesi kuwa kuna raia wa urusi alikuwa ametoka bank maeneo ya sinza inasemekana alikuwa abebeba hela (kiasi hakija fahamika ni bei gani) na anafanya kampuni inayoshughulika na aluminium na glass!!na kwa melezo inasemekana alibishana na hao majambazi ndipo akapigwa risasi moja ya mkono bado akawa mbishi na ingine ikapigwa hewani bado kawa mbishi ndipo akapigwa ya kichwa!!!!kama kuna mwenye taarifa hii zaidi utuwekee hapa!!ni tukio la muda huu!!
(Soure!!) Taarifa hii nimeipata kwa mfanyakazi mwenzie!!
 
Kabla ya kuja huku ungejiridhisha kwanza kwa taarifa hiyo, maana umechanganya Mturuki na Mrusi sasa sijui yupi ni yupi?
 
Umeandika kama ulikuwa unarekodi vile!!
 
Inaelekea kama ni kweli umetoa mchongo wewe na sasa majambazi wenzako wamekueleza mchezo mzima ilibyokua, wewe umejuaje kulikia na ubishi
 
Kuna tetesi kuwa kuna raia wa urusi alikuwa ametoka bank maeneo ya sinza inasemekana alikuwa abebeba hela (kiasi hakija fahamika ni bei gani) na anafanya kampuni inayoshughulika na aluminium na glass!!na kwa melezo inasemekana alibishana na hao majambazi ndipo akapigwa risasi moja ya mkono bado akawa mbishi na ingine ikapigwa hewani bado kawa mbishi ndipo akapigwa ya kichwa!!!!kama kuna mwenye taarifa hii zaidi utuwekee hapa!!ni tukio la muda huu!!
(Soure!!) Taarifa hii nimeipata kwa mfanyakazi mwenzie!!
nimeona video yake imesambaa kidogo anaonekana mturuki sio mrusi
 
Inaelekea kama ni kweli umetoa mchongo wewe na sasa majambazi wenzako wamekueleza mchezo mzima ilibyokua, wewe umejuaje kulikia na ubishi
Haya maelezo nimeyapata kwa mfanyakazi mwenzake kampuni moja kitengo tofauti
 
Call Centre Za Police Ziko Wapi ?
GPS Ya Vituo Vinavyohama Viko Wapi ?
Mbona Matukio Yapo Juu Kwasasa
 
Kutoa taarifa ambazo huna uhakika nazo haina maana yeyote ulikua na haraka gani?
 
Back
Top Bottom