Raia wamecharuka, Iweje Ronaldo ale pesa nyingi

Avatar

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
11,128
Reaction score
11,921
Watengeneza magari wameicharukia juventus kuelekeza pesa ya mapato ya kiwanda kwa Ronaldo.

Juventus si ingetoa pesa mfukoni mwake, sio sawa. Nikijaribu kuvaa viatu vya wafanyakazi hao. A

 
Hata mimi nimeiona hii habari DW... Wanalalamika kuwa jamaa tayari ana pesa iweje alipwe tena mpunga mrefu!...
 
Hata mimi nimeiona hii habari DW... Wanalalamika kuwa jamaa tayari ana pesa iweje alipwe tena mpunga mrefu!...
Wakiwaza miaka nenda rudi wapo korokoroni wanapambana na injini.. Alafu anakuja mtu mmoja anakula kiu laini [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wamesahau msemo wa Wahenga mwenye nacho huongezewa? Siku zote maji hutiririka kuelekea baharini ambapo tayari yako mengi.
Lkn ni wao ndio wa zalishaji wa mapato hayo.
 
Kwahiyo Wanatakaje Kwa Mfano Hao Workers?
 
wafanyakazi wa azam wanalipwa laki unusu.. ila wachezaji azam mamilioni ia hawagomi.. wapi wafanyakazi wa mohamed enterprises mshahara laki moja.. huku simba wanalipa watu milioni 10 kwa mwezi.. wapi manji na yanga na quality group staff
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…