Raia wamsimamisha Rais Macroni atoe kauli ya kusitisha uwekezaji wa bomba la mafuta kutoka Tanzania kwenda Uganda

Raia wamsimamisha Rais Macroni atoe kauli ya kusitisha uwekezaji wa bomba la mafuta kutoka Tanzania kwenda Uganda

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Hii itufunze kuwa ni muhimu kufinance vitu vyetu. Bomba la mafuta bado linakumbana na upinzani mkali kwa wanaharakati wenye maslahi yao wenyewe.

Wazee wetu walikatwa mikono kwa kufua chuma, the story continues
 
Inawezekana kikulacho ki-jirani yako au nguoni...
Naunga mkono hoja...
kuna wazungu wanafiki sana, hawapendi kuona inchi za kiafrica zinaendelea, wanapenda kutuona tupo dependents kwako miaka nenda miaka rudi.
 
Back
Top Bottom