Raia wasimama kidete kwa polisi walioingia kwenye gari yao kwa mabavu wakitaka kufanya ukaguzi

Raia wasimama kidete kwa polisi walioingia kwenye gari yao kwa mabavu wakitaka kufanya ukaguzi

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Tazama hapo kwenye video raia wanauliza kwanini umevamia gari yetu polisi hawana majibu, wanaulizwa tumefanya kosa gani hawana majibu, wanaambiwa watoe vitambulisho kuthibitisha kuwa wao ni polisi kweli wanasuasua tu, mwishowe wanaishia kuwaambia unajua mimi na nani.

Ni dhahiri jamaa walikuwa wanatafuta kosa kwa nguvu ili wapate ka upenyo ka kupata hela ya kubrashia viatu, sasa wamekutana na watu wanaojua kusimamia haki zao wameenda nao sambamba vilivyo.

 
Hao polisi wamekutwa nao wanajifunza shughuli za kubambika magwiji tayari wangejikuta na bangi mfukoni!
 
Back
Top Bottom