Raila sio maskini kama weweJaman ndo kusema Raila Odinga kawa tapeli kiasi hiki! aliomba kuchangiwa pesa ya kampeni wakati hata kampen zenyewe hafanyi, mbaya zaidi anataka kusepa UK wakati hata pesa hajarudisha!. arudishe pesa bana ndo afanye yake
Weka ushahidi kama ulichanga au ulimis tu kumtaja jina la bwanaako huyo kuwa makini dogomuulize yeye raila kwanini hatosheki na bata, mbaya zaid kwa kutumia fedha zetu tulizompa kwa ajili ya kampeni
muulize yeye raila kwanini hatosheki na bata, mbaya zaid kwa kutumia fedha zetu tulizompa kwa ajili ya kampeni