SA kapelekwa kwa Pesa ya Kodi Yako. If YesHili ni jambo ambalo sijawahi elewa na Raila. Unawezaje shinda ukicheza densi za chini-kwa-chini na mwanawako ambaye untaka akurithi akiwa mgonjwa hadi kaelekea SA kwa matibabu kwasababu ya tumor na we hapa uko unalia kwa ajili ya miraa.
Usisahau huyu ndiye Raila ambaye wafuasi wake wanacelebrate doctors strike. Wafuasi wake hata hawataki kusikia Uhuru anaongea mambo mengine isipokuwa Mgomo wa madaktari, ilhali jemedari wao hana shida na mwanawe kwenda SA matibabu!!!!!
Hili lashtua kweli.
Nini iliua Fidel?SA kapelekwa kwa Pesa ya Kodi Yako. If Yes
Keep it up
If no
Mind your own biz
Hehehe! Ndio zao wanasiasa, wote hujitoa ufahamu. Mwanasiasa hata anaweza kuachia mumalizane ndani ya nchi hadi pale atapewa mamlaka. Mfe wote hadi afaulu kwa chochote anachofuata.
Huu mwaka wa uchaguzi tutaona mengi, watapiga hadi push ups