Raila amkosoa Ruto kwa kukopa Tsh. Trilioni 3.6 siku chache kabla ya kuisha kwa mwaka wa fedha

Raila amkosoa Ruto kwa kukopa Tsh. Trilioni 3.6 siku chache kabla ya kuisha kwa mwaka wa fedha

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Kiongozi wa Azimio la Umoja, Raila Odinga ameishutumu Serikali ya Rais William Ruto kwa kukopa kupita kiasi wakati ambapo nchi inakabiliana na ongezeko la deni la Serikali, na kuonya kuwa Hazina ya Kitaifa na Wizara zote zinazohusika katika kukopa hazitaepuka uwajibikaji

Akiongea na Waandishi wa Habari, Odinga amedai kuwa hivi karibuni serikali ilikopa Ksh. Bilioni 231.4 kutoka kwa mashirika ya kifedha ya nchini humo kwa kiwango cha juu cha riba cha asilimia 15.84.

Amehoji matumizi na muda wa ukopaji wa mkopo huo ambao unakuja siku chache kabla ya mwisho wa mwaka wa fedha wa 2022/2023
---

Raila faults Ruto appetite for loans, claims govt borrowed Sh213.4bn in one day

He has questioned the timing of the borrowing, which comes just a week before the end of the 2022/2023 financial year

He has also expressed concern that a number of investors have been locked out of the credit market and that this will have a negative impact on businesses.

Opposition leader Raila Odinga has accused President William Ruto's government of borrowing excessively at a time when the country is grappling with ballooning public debt.

Mr Odinga has warned the National Treasury and all ministries involved in borrowing that they will not escape accountability.

In a statement to newsrooms on Tuesday, the Azimio La Umoja One Kenya coalition leader took issue with Kenya Kwanza's ‘high appetite’ for loans secured under the cover of the ongoing debate on the controversial Finance Bill, 2023.

Mr Odinga claimed that in a single day last week, the government borrowed Sh231.4 billion from local financial institutions at a high-interest rate of 15.84 per cent.

“Azimio is convinced that the country being deep in debt, the Kenya Kwanza is continuing to borrow money at extremely high rates to pay questionable pending bills owed to politically connected contractors, without following the law, in return for bribes,” states Mr Odinga.

He has condemned Ruto's government for borrowing, especially the money secured just days before the end of the current financial year.

He claims this money was borrowed at an extremely high interest rate of 15.84 per cent.

"With the ongoing focus on the Finance Bill providing a perfect cover, the Kenya Kwanza administration has in recent days engaged in a suspicious borrowing spree,” he said.

He has questioned the timing of the borrowing, which comes just a week before the end of the 2022/2023 financial year.

Source: Nation Africa
 
Back
Top Bottom