Raila Amolo Odinga Agwambo Earthquake

Hata Rutto leo namsikia analia na Deep state
 
He has my got support.

The only thing which irritates me is his to relaunch the useless and unpopular referendum( BBI NONSENSE) which is just a waste of hard earn cash from tax payers.
 
Baba na mtoto ni vitu mbili tofauti. Baba akifanya makosa yeye ndo atasimama kwa koti sio mtoto and vice-versa.
Usizibwe macho na siasa ukaacha kuona maisha kwa ukweli kama watanzania hapa.
sijazibwa macho vitu zingine ziko wazi tu,Ata nikiua na mtoto wangu anisaidie kuficha hio mwili we are all guilty!
Raila is a thief like his father,na kama hataki kuitwa mwizi awache kuitana mwizi,
Ruto is the 5th prezo💯
Ata atumie deepstate or dynasties Raila hatakalia hio kiti,the reason why is because he ameungana na wazee wezi ndio ambao wanamcontrol,we as huslers we will make sure kura za Ruto haziibiwi!watch the pace hustler wind is strong
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo nick ruto, Gideon moi, Uhuru kenyatta na watoto wengine wa wanasiasa tunawafunga jela siku gani sababu wamesaidia baba zao kuficha na kula mali ya uma? Kwani umekua taga wa ruto kama wale watanzania wa magufuli kachengcheng?
Tupatane kwa debe august tutatue hii maneno.
 
bora tu wakushindwa ashindike once and for good
Tupatane debeni,ndiyo itakuwa finale
 
Ndugu chama ni UDA
Form ni Hustler nation
Mpango ni bottom up

Huyu mganga wenu ni state project na watu washamjua,2002 uhuru mwenyewe alikua ni project ya moi alifail.
I decree failure of whoever you have in mind and victory of Raila in the name of the High Most Lord!
 
No wonder that happened!

1st, Raila started politics before Magufuli was born.

2nd, Raila was mentoring Magufuli who also later turned metric-brain behind peace of Kenya by bringing together Raila and Uhuru who both later formed Deep Sate which resulted into BBI and Azimio la Umoja.

3rd, it was Magufuli who interpreted for Raila and Uhuru the constitution of Kenya that the nation has only one President (not two) and that is Uhuru Kenyatta. After Raila succumbed to Magufuli's advice, Uhuru sold to Raila Bipartisanship idea which now roars across Kenya. So if Raila maintains that he was advisor to Magufuli, equally it is Magufuli who has made Raila the 5th President of Kenya.

So Raila crafted Tz and Magufuli made GoK of 4th and 5th phases.
 
so kwako deepstate ni kitu mzuri
 
So kwa maelezo yako magufuli ni handshake mastermind ?aisee very irrational
 
Kwahiyo hamumtaki Kitendawili?
 
So kwa maelezo yako magufuli ni handshake mastermind ?aisee very irrational
Aliyempatanisha Uhuru na Raila ni nani kama siyo Magufuli?

Aliyewaambia Wakenya kwamba Tanzania inamtambua rais mmoja tu (Uhuru) siyo marais wawili ni nani kama siyo Magufuli?

Wakenya waliapisha marais wawili mpaka hapo Magufuli alipowatafsiria katiba yao wenyewe kwamba Kenya ina rais mmoja tu.

Kenya imeingia kwenye Middle Income Economy ndani ya amani na kujikombakomba kwa Wazungu na Wa-asia.

Magufuli ameingiza Tz Middle Income Economy ndani ya Corona, lawama za kuzorota demokrasia na haki za binadamu na pia bila kwenda Ulaya kujikomba kama GoK inavyoendaga kujikomba.

Aisee very rational.


Niwashike mikono kama ishara ya kwamba tofauti zimeisha, sasa mchape kazi kwa ajili ya wanyonge wa Kenya na EAC.

Taswira kwa hisani ya google.
 
Deep State ni kitu mzuri sana kushinda Shallow State, Hustlers, Bottom-Up e.t.c.
so the "people" sio hao wanachaguaga!
No wonder Raila huanguka na atazidi akianguka na sasa anategemea sjui deepstate😕wakati sisi ndio tunachagua,tuliweka mpaka uhuru ndani ya ikulu,sasa ni Ruto the 5th President
Kwani you 🐄dont learn!!!
Kifua mingi mingi👎
 
Deep State ni kitu mzuri sana kushinda Shallow State, Hustlers, Bottom-Up e.t.c.
so the "people" sio hao wanachaguaga!
No wonder Raila huanguka na atazidi akianguka na sasa anategemea sjui deepstate😕wakati sisi ndio tunachagua,tuliweka mpaka uhuru ndani ya ikulu,sasa ni Ruto the 5th President
Kwani you 🐄dont learn!!!
Kifua mingi mingi👎
 
Deep State ni kitu mzuri sana kushinda Shallow State, Hustlers, Bottom-Up e.t.c.
so the "people" sio hao wanachaguaga!
No wonder Raila huanguka na atazidi akianguka na sasa anategemea sjui deepstate😕wakati sisi ndio tunachagua,tuliweka mpaka uhuru ndani ya ikulu,sasa ni Ruto the 5th President
Kwani you 🐄dont learn!!!
Kifua mingi mingi👎
 
Huyo Ruto nani anamtaka Nyanza, Central, Nairobi, Coast, Western, North Eastern, Eastern? Watu wa Central Rift Valley pekee wanatosha kumpeleka Ikulu? Ndivyo anavyowadanganya? Au anataka aibe kura? Au anataka amwage damu ndiyo aingie Ikulu kama 2008?
 
Huyo Ruto nani anamtaka Nyanza, Central, Nairobi, Coast, Western, North Eastern, Eastern? Watu wa Central Rift Valley pekee wanatosha kumpeleka Ikulu? Ndivyo anavyowadanganya? Au anataka aibe kura? Au anataka amwage damu ndiyo aingie Ikulu kama 2008?
nani amekuambia eti Ruto anapendwa central na rift valley pekee,ama ni deepstate imekudanganya hivo😂
Just you open your eyes and see,one man against all the dynasties, munajua nguvu yake na ya watu wake na ndio maana hamshibi kumwongelea!
Siku itafika mtastuka sana
Ruto the 5th!
 
Kama Ruto akishinda naenda ku-defecate ndani ya Nairobi Central Police Station daylight.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…