Raila anaenda kuangukia pua na wote tutafurahi

Raila anaenda kuangukia pua na wote tutafurahi

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Huyu mzee Raila Odinga anafahamika sana kwa fitina na kuharibia wenzake.

Yani ana roho ya uharibifu sana, uchonganishi na majungu.

Ni yeye kamuharibia Rigathi Gachagua. Machozi ya Gachagua aliyotoa ni laana itakayowaandama Raila na Ruto.

Raila ni ndimilakuwili kigeugeu ni kama popo.

Haaminiki kabisa. Kutoka na haya yote mabaya aliyowafanyia wengine yatamrudia.

Mungu yupo amini msiamini Raila anapigwa chini Urais wa AU na kuangukia pua na wote East Africa tutafurahi na kusheherekea.

20250215_154201.jpg


Tlaatlaah

Nyau de adriz
 
Atashinda.
Ni ngumu Djibouti man wanachukua asubuhi na mapema kwasababu Franco fone na Muslim countries wote wanamsifia na ndio wengi. Halafu Djibouti man yuko vizuri intellectual na diplomacy tumetulia.

Anaongea kiingereza na kifaransa.

Kwa kifupi he is the most reliable person kwenye hicho kiti.
 
Huyu mzee Raila Odinga anafahamika sana kwa fitina na kuharibia wenzake.

Yani ana roho ya uharibifu sana, uchonganishi na majungu.

Ni yeye kamuharibia Rigathi Gachagua. Machozi ya Gachagua aliyotoa ni laana itakayowaandama Raila na Ruto.

Raila ni ndimilakuwili kigeugeu ni kama popo.

Haaminiki kabisa. Kutoka na haya yote mabaya aliyowafanyia wengine yatamrudia.

Mungu yupo amini msiamini Raila anapigwa chini Urais wa AU na kuangukia pua na wote East Africa tutafurahi na kusheherekea.

View attachment 3237069

Tlaatlaah

Nyau de adriz
singida wamesusa kumpokea kibaka na tapeli wa siasa, ombaomba la kuchangiwa pesa na kiongozi mpya wa chadema. Unadhani ni kwanini?

Bilashaka yoyote,
Raila atashinda uchaguzi wa AUC raundi ya kwanza tu :pedroP:
 
singida wamesusa kumpokea kibaka na tapeli wa siasa, ombaomba la kuchangiwa pesa na kiongozi mpya wa chadema. Unadhani ni kwanini?

Bilashaka yoyote,
Raila atashinda uchaguzi wa AUC raundi ya kwanza tu :pedroP:
Mlijaribu kumuua lakini Mungu akakataa kwasababu anamuandaa kuwa rais hata ispotokea 2025 tutamsubiria hata 2035
 
Sisi wana afrka mashariki tunataka raila ashinde, we hutaki?
 
Actually kabla ya kuwasaliti GEN Z na kuungana na Kasongo Ruto, the man had done a lot for Kenya..., Yeye na Baba yake walikuwa humble na kuwa kwao Humble kumesaidia sana machafuko mengi kutokufanyika..., nadhani atakumbukwa kwa hayo; kuhusu uhalali wake au kufaa kwake kwa uongozi kwa sasa nadhani that is another argument...

Kwa ufupi baba yake angepewa uongozi na Wakoloni ila alikataa kwamba tungojee mzee (Jomo ) akitoka Jela ndio apewe uongozi (for that I salute the Odinga's); na Jomo ndio aliwageuka...

Je unajua mpaka leo anatoa chozi jicho moja mara kwa mara kutokana na kibano alichopata katika harakati za kisiasa ? (Hii familia hata kama imeiba na kufaidika na siasa lakini siasa pia imewagharimu)
 
Ruto anataman Odinga ashinde ili uchaguz ujao wa kenya asimsumbue,,,, ! Pia ruto kasahau Rigath atautanda chama chake na atagombea uraisi. ,,,atamsumbua kuliko Odinga, watu wa mlima kenya hawana jambo dogo
 
Back
Top Bottom