The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Ni ngumu Djibouti man wanachukua asubuhi na mapema kwasababu Franco fone na Muslim countries wote wanamsifia na ndio wengi. Halafu Djibouti man yuko vizuri intellectual na diplomacy tumetulia.Atashinda.
singida wamesusa kumpokea kibaka na tapeli wa siasa, ombaomba la kuchangiwa pesa na kiongozi mpya wa chadema. Unadhani ni kwanini?Huyu mzee Raila Odinga anafahamika sana kwa fitina na kuharibia wenzake.
Yani ana roho ya uharibifu sana, uchonganishi na majungu.
Ni yeye kamuharibia Rigathi Gachagua. Machozi ya Gachagua aliyotoa ni laana itakayowaandama Raila na Ruto.
Raila ni ndimilakuwili kigeugeu ni kama popo.
Haaminiki kabisa. Kutoka na haya yote mabaya aliyowafanyia wengine yatamrudia.
Mungu yupo amini msiamini Raila anapigwa chini Urais wa AU na kuangukia pua na wote East Africa tutafurahi na kusheherekea.
View attachment 3237069
Tlaatlaah
Nyau de adriz
Na wewe my sweet beautiful baby?Wote na nani?
Mlijaribu kumuua lakini Mungu akakataa kwasababu anamuandaa kuwa rais hata ispotokea 2025 tutamsubiria hata 2035singida wamesusa kumpokea kibaka na tapeli wa siasa, ombaomba la kuchangiwa pesa na kiongozi mpya wa chadema. Unadhani ni kwanini?
Bilashaka yoyote,
Raila atashinda uchaguzi wa AUC raundi ya kwanza tu
Tusubiri tuone.singida wamesusa kumpokea kibaka na tapeli wa siasa, ombaomba la kuchangiwa pesa na kiongozi mpya wa chadema. Unadhani ni kwanini?
Bilashaka yoyote,
Raila atashinda uchaguzi wa AUC raundi ya kwanza tu
nipo live singida na ethopia kwa pamojaTusubiri tuone.
Wewe ni mchawi tu.nipo live singida na ethopia kwa pamoja
Mkuu yani sitaki namuombea aangukie pua.Sisi wana afrka mashariki tunataka raila ashinde, we hutaki?
singida wamesusa kumpokea kibaka na tapeli wa siasa, ombaomba la kuchangiwa pesa na kiongozi mpya wa chadema. Unadhani ni kwanini?
Bilashaka yoyote,
Raila atashinda uchaguzi wa AUC raundi ya kwanza tu
singida imefanyaje tena, au upo kwenye msafara wa Lissu?nipo live singida na ethopia kwa pamoja
NDIO ANAANZA KUZUNGUMZA SAIV HUYO KIBAKAsingida imefanyaje tena, au upo kwenye msafara wa Lissu?
sie tunataka apate huko, amuache ruto apumueMkuu yani sitaki namuombea aangukie pua.
unamuita kibaka wakati ni kiongozi shupavu Tanzania inajivunia kuwa nayeNDIO ANAANZA KUZUNGUMZA SAIV HUYO KIBAKA