connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
1. Raila Amollo Odinga kupitia ODM ameokota Dodo kwenye mti wa mpera kwa Viongozi wa Chama chake Kuteuliwa nafasi za uongozi kwenye serikali ya Kenya. Huku Gen Z wakiendelea Kula vumbi Kibera na Mathare slums.
2. Ruto akiteua girlgriend wake kuwa Waziri.
3. Poleni Gen Z, poleni Kibera, hizo ndio siasa za Afrika.
**Utu uzima dawa.
BCC: Kamanda wa anga Mboe & Antipas
2. Ruto akiteua girlgriend wake kuwa Waziri.
3. Poleni Gen Z, poleni Kibera, hizo ndio siasa za Afrika.
**Utu uzima dawa.
BCC: Kamanda wa anga Mboe & Antipas