connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Gen Z wanakula vumbi lipi wakati matakwa yao yametimia kwa zaidi ya 85%?1. Raila Amollo Odinga kupitia ODM ameokota Dodo kwenye mti wa mpera kwa Viongozi wa Chama chake Kuteuliwa nafasi za uongozi kwenye serikali ya Kenya. Huku Gen Z wakiendelea Kula vumbi Kibera na Mathare slums.
2. Poleni Gen Z, poleni Kibera, hizo ndio siasa za Afrika.
**Utu uzima dawa.
BCC: Kamanda wa anga Mboe & Antipas
Picha tena?Ya Amolo,GenZ au ya utu uzima dawa?Picha!
Takwa lao kuu #RutoMustGo#Gen Z wanakula vumbi lipi wakati matakwa yao yametimia kwa zaidi ya 85%?
Ruto anaahidi kila baada ya masaa mawiliTakwa lao kuu #RutoMustGo#
Akili mbovu kweli kweli hizi. Kwani Gen Z walikuwa na lengo la kuteuliwa?1. Raila Amollo Odinga kupitia ODM ameokota Dodo kwenye mti wa mpera kwa Viongozi wa Chama chake Kuteuliwa nafasi za uongozi kwenye serikali ya Kenya. Huku Gen Z wakiendelea Kula vumbi Kibera na Mathare slums.
2. Poleni Gen Z, poleni Kibera, hizo ndio siasa za Afrika.
**Utu uzima dawa.
BCC: Kamanda wa anga Mboe & Antipas
Tukumbushe Lengo Lao na kama iwapo limetimizwa.Akili mbovu kweli kweli hizi. Kwani Gen Z walikuwa na lengo la kuteuliwa?
Tatizo ni Gen z wame feel betrayed kwa raila kujiunga with one person they dont like. Maybe kwa sasa kaokota dodo ila kwenye uchaguzi atokota mchanga1. Raila Amollo Odinga kupitia ODM ameokota Dodo kwenye mti wa mpera kwa Viongozi wa Chama chake Kuteuliwa nafasi za uongozi kwenye serikali ya Kenya. Huku Gen Z wakiendelea Kula vumbi Kibera na Mathare slums.
2. Ruto akiteua girlgriend wake kuwa Waziri.
3. Poleni Gen Z, poleni Kibera, hizo ndio siasa za Afrika.
**Utu uzima dawa.
BCC: Kamanda wa anga Mboe & Antipas
Who cares?Tatizo ni Gen z wame feel betrayed kwa raila kujiunga with one person they dont like. Maybe kwa sasa kaokota dodo ila kwenye uchaguzi atokota mchanga
They doWho cares?
Kenya wanawaza kuiba tuThey do
Haha tz hawaibi?Kenya wanawaza kuiba tu
Wanaiba Kwa uwoga kama Mr BumundaHaha tz hawaibi?
Neema juu ya neemaRaila ndo mshindi wa maandamano. Huku anapigiwa pande kuwa Chairman wa African Union