Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Nilicheka sana nilipoona vituko vya handshakeee
Baada ya kuungana mzee wetu aka Baba akaenda mkutanoni leo.
kufika babaaaaa anataka kuanza kuongeaaa baba kuhamaki akashtukiaa kundizima la mkutano linamzomeaa toka shujaa shukaa tokaa mbariki wewee. Baba akasita kuendelea akajua wakitulia ataendelea kuongea.
Weweeee kila akigusaaaa maiki kazomewaa baba akanusa akasema ahsanteni.
Baba akaunganmoja kwa Moja kwenye gari lake huku akizomewaaa baba natikii wewe.
Hao ndio wakenya bana.
Baada ya kuungana mzee wetu aka Baba akaenda mkutanoni leo.
kufika babaaaaa anataka kuanza kuongeaaa baba kuhamaki akashtukiaa kundizima la mkutano linamzomeaa toka shujaa shukaa tokaa mbariki wewee. Baba akasita kuendelea akajua wakitulia ataendelea kuongea.
Weweeee kila akigusaaaa maiki kazomewaa baba akanusa akasema ahsanteni.
Baba akaunganmoja kwa Moja kwenye gari lake huku akizomewaaa baba natikii wewe.
Hao ndio wakenya bana.