jeshi la mtu moja
Member
- Oct 19, 2016
- 86
- 35
Mkuu we siasa kweli hujui, kwani hujui kuwa chadema ni wapo upande wa Kenyatta na CCM wapo kwa Raila au hata hili dogo tu limekupiga chenga?Akili za chadema hizi
Umeandika kama vile kuna mtu anakufukuza au umeazima simu yake?Kajwang aliyemwapisha Rails kaachiwa sasa hivi,hivo Ni pigo kwa kenyatta
Haha, bebeni viti vyenu mkazitazame hizo police station. Najuwa watakuwa wamewaadalia tamthilia zuri sana. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee stesheni ambazo zipo open kwa mida hii huku kenya ni police station tu mazeee![emoji3] [emoji125] [emoji191] [emoji241]
Wala hajui kuwa Raila baada ya kuapishwa yupo mapumziko hapa baba jescaMkuu we siasa kweli hujui, kwani hujui kuwa chadema ni wapo upande wa Kenyatta na CCM wapo kwa Raila au hata hili dogo tu limekupiga chenga?
Hahaha duh!Aisee stesheni ambazo zipo open kwa mida hii huku kenya ni police station tu mazeee![emoji3] [emoji125] [emoji191] [emoji241]
UWONGOWala hajui kuwa Raila baada ya kuapishwa yupo mapumziko hapa baba jesca
Sio kweli hili, DW walidanganya, they have their agenda.Wala hajui kuwa Raila baada ya kuapishwa yupo mapumziko hapa baba jesca
Tena wanajaribu kila njia kuvuruga nchi za Africa DW imelaaniwa kwa kweli!Sio kweli hili, DW walidanganya, they have their agenda.
amechwa kwa dhamana ni haki ya kila mtuKajwang aliyemwapisha Rails kaachiwa sasa hivi,hivo Ni pigo kwa kenyatta