Raila amekuwa mwendawazimu. Baada ya wamama kutoa nguo zao wakiindamana kumsifu Raila, Hivi juzi Raila adai kuwa yuataka kuona chupi za kina mama. Kweli Watanzania. Naomba mkachukue huyu mtu mkafanye awe wenu jinsi sisi tumeifanya Mlima Kilimanjaro kuwa letu.