Kenya 2022 Raila Odinga akiri kujifunza kwa Hayati Magufuli

Kenya 2022 General Election
Raila bwana kaingizwa cha kike na akina Uhuru sasa hivi kura ataibiwa na hatakuwa na ubavu wa kuwaingiza wajaluo barabarani kuandamana
 
Odinga ni kubwa jinga fulani lililobahatika kupendwa na wajaluo wenzie, Kenyans sidhani kama watamchagua huyu.

Mhuni Kenyata na wahuni wenzie wamemuingiza King naye kajaa mzima anapigwa za mbavu kwishney.
 
Angeingia kwanza ndo awambie mbona wataogopa shughuli ya magu haikua yakitoto wapinzani wajiandae kwa zoruba
 
Elimu ya Sasa hivi fake SANA! Watu hawajitambui na lugha hawajui!
Kiswahili shida !
English shida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…