Raila Odinga akubali kupewa uwaziri wa fedha

Status
Not open for further replies.

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Waziri mkuu amekubali kuwa waziri wa fedha ktk serikali ya -enyetta
Hii imetokana na na busara yake yakukubali kushindwa uchaguzi uliopita na ameyaheshimu maamzi ya koti ya juu.
 
Waziri mkuu amekubali kuwa waziri wa fedha ktk serikali ya -enyetta
Hii imetokana na na busara yake yakukubali kushindwa uchaguzi uliopita na ameyaheshimu maamzi ya koti ya juu.

Kaka kiiza..hii habari nzuri kama ni kweli
 
Watu hawaelewi concept ya fools day. Fools day kama unafanya joke unafanya joke kitu ambacho in real sense HAKIWEZEKANI. Kwa mfano wale waliosema Mlima Kilimanjaro utahamishwa.

Unaposema Odinga amekubali kuwa waziri wa fedha, hili kimsingi ni jambo ambalo LINAWEZEKANA na inakuwa haijaqualify kuwa joke ya fools day na mtu atakayeamini si mjinga.

Mwingine anasema Rage kauliwa kwa risasi. Hiyo pia haijaqulaify kwa sababu Rage kuuliwa ni kitu kinachowezekana na mtu atakayeamini hilo si mjinga.

Sasa wewe tuambie, hii yako ni fools day au habari genuine?
 
Soma vizuri habari ndo hiyo!
 
Kweli leo ni foolish day, nimeona nyingine humu eti Rage apigwa risasi as breaking news jamani mnaturusha roho kwa leo, Duh saa nne ifike mapema
 
Waziri mkuu amekubali kuwa waziri wa fedha ktk serikali ya -enyetta
Hii imetokana na na busara yake yakukubali kushindwa uchaguzi uliopita na ameyaheshimu maamzi ya koti ya juu.


JF has no fools!
 
Foolish Day!hawezi kumpa waziri wa Fedha mpinzani wake mkuu!atashindwa kuendesha nchi na chukua hapa peleka pale!akikaa yule hataweza kuendesha nchi!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…