Raila Odinga anapaswa kupewa tuzo ya mwanasiasa bora wa upinzani Afrika Mashariki?

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
BAADA YA KUANGALIA WAPINZANI WANAOPATIKANA TANZANIA,RWANDA,UGANDA,

NIMEGUNDUA NDUGU RAILA AMORO ODINGA ANAPASWA KUPEWA TUZO YA MWANASIASA BORA UPINZANI AFRICA MASHARIKI KWA SABABU ZIFUATAZO ...........

1.ALIHAKIKISHA KWANZA KENYA INAPATA KATIBA MPYA.

2.BAADA YA UPATIKANAJI WA KATIBA AKAINGIA ZAIDI KUWA UHURU WA MAHAKAMA NA MAJAJI WAWE HURUUU.


3.LEO HII MPAKA MAHAKAMA INATENGUA UJUE SIO MCEZH
 
Kuna wataalamu kama "lead counsel" James Orengo wapo behind the scene wanapika kila kitu. Ndo uzuri wa Politician kuwasikiliza Wataalamu. Kwingine Africa na pia hapa kwenu wanasiasa wengo wamegeuka kuwa advisor wa advisors wao.
 
Usimpongeze odinga tu wapongeze na wakenya pia maana walikubali kuuana wao kwa wao kupeana vilema nk ili katiba iyo ipatikane na watu wengine walipelekwa the Hague tofauti na kwetu watanzania tu kwa mfano tushajazwa uoga ndo mana mtu anaendesha nchi ovyo tu na mfano uyo jaji mkuu aliyetoa hukumu leo assume angekua kaimu jaji mkuu kama huku kwetu kesho asubh asingekua na kazi asee ni kama mwanasheria mkuu wa zanzibar kipindi cha bunge la katiba alipotoa maoni tofauti kesho yake akakosa kazi so pongezi ziwe za wakenya wote kwa kuweza kuamua hatma yao na vizazi vijavyo sisi watanzania hatma yetu itaamliwa na vizazi vyetu sisi tushakua waoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lowassa hayumo?huu ni uchochezi[emoji11][emoji11]
 
Ni swala la muda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…