Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongea kwa Sababu wewe ni CHADEMA au unajua situation iliyoko Kenya?Ujinga huu
kwa hio anataka kwenda huko UK alafu ahamasishe vurugu Kenya
wakenya wamemvumilia sana huyu mtu
sasa anataka kuiharibu nchi yao
Uhuru amekuwa mstaarabu sana ku deal na huyu bwana
ameona kwa namna yoyote hana uwezo wa kushinda uchaguzi.sasa anataka kuiharibu amani ya nchi
najua situation iliyoko kenyaUnaongea kwa Sababu wewe ni CHADEMA au unajua situation iliyoko Kenya?
Mpelekeni geita atapewa u DC na rafiki yakeduh! Raila katuchosha wakenya...sijui ni nchi ipi inahitaji immigrants kwa haraka tuwape huyu jamaa "free of charge"
We Lumumba situation ya Kenya unaijua .?Unaongea kwa Sababu wewe ni CHADEMA au unajua situation iliyoko Kenya?
Atakuwa hana tofauti na kina lema na Msigwa kwenda ughaibuni kuisema nchi na kuleta uchochezi..Ujinga huu
kwa hio anataka kwenda huko UK alafu ahamasishe vurugu Kenya
wakenya wamemvumilia sana huyu mtu
sasa anataka kuiharibu nchi yao
Uhuru amekuwa mstaarabu sana ku deal na huyu bwana
ameona kwa namna yoyote hana uwezo wa kushinda uchaguzi.sasa anataka kuiharibu amani ya nchi
Hadi arudi huku kenyeta atakuwa ameshaapishwa..Raila Odinga has left the country for the UK where he is expected to give an address on the political situation in Kenya.
View attachment 607549