Raila Odinga aondoka nchini Kenya na kwenya UK ataelezea huko hali ya Kisiasa ya Kenya

Kwaiyo ameenda kusemelea?
Naona Raila anakonga nyoyo za Maalim Seif,
The guy is becoming insecure kid, Sipendi mambo ya namna hii,
UK won't solve Kenya's Problems.Anatakiwa akomae, hao wazungu ndio wanapenda hivi waafrica tukiwa na instabilities.
 
Siasa za Kenya sisi tunazivalia njuga na itikadi zetu..Nafkiri tuwaskilize wahusika wenyewe(Wakenya) naamini humu wamo wengi.
 
weee fala,ni muharo gani umeandika😀
mbona povu mkuu 3rd man, nini kinakuuma mimi kuandika wimbo wangu pendwa....au wewe zamahizi za uhuru wa kujieleza ulitaka niandikaje...haya nifundishe niache kuandika uhoro...Im keepn waiting for you to do the tell
 
Kama kaondoka ili kupisha uchaguzi ufanyike kwa Amani ni vyema pia wananchi waelewe amani ya nchi yao ipo mikononi mwao hivyo waachane na mambo yatakayopelekea nchi yao kuwa katika machafuko
 
Huyu mwana siasa wa kweli na safari aijaanza hiyo2 odinga anauchungu wa kuikomboa nchi unajua sababu ya kughairishwa uchaguzi tusiongee kiushabiki hile kama kazi au ajira penye pesa hata wewe lazima utafanya kila jitihada ili upate
 
Siasa za Afrika zimekuw kero. Wanajua wakenya wangapi wanaoumia sababu ya wao kugombea madaraka?
 
mi simlaumu sana Odinga ukitaka kujua uchungu wa kuibiwa Kura waulize Chadema
 
Nimeruhusiwa mkuu na mwenye picha[emoji2] [emoji2]
Tena tena ikibidi Mpige na picha Umpelekee mkeo umwambie rafiki yake ni Mjamzito na na anaomba umsaidie kutafuta jina la Mtoto kwani ni mimba yako...ulisahau kutumia condomu....Atafurahi sana sana Mkuu atakuchagulia jina Zuri sana la Mtoto
[emoji125] [emoji125] [emoji15]
Ondoa Picha ya Mdogo wangu kwenye DP yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…