LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 866
- 1,109
Mgombea urais na kiongozi maarufu wa muungano wa Azomio Raila odinga amewahaidi wakulima kuwa atazuia uingizaji wa mahindi toka nje ya nchi. Na ikumbukwe kuwa mahindi mengi yanazalishwa na kuuzwa kutoka Tanzania
Kwa akili ya kawaida ina maana hawa wafanyabiashara wa Kenya wanapata mahindi bei chee hivyo wanapopeleka sokoni bidhaa za Kenya zinadoda.
Kwa akili ya kawaida ina maana hawa wafanyabiashara wa Kenya wanapata mahindi bei chee hivyo wanapopeleka sokoni bidhaa za Kenya zinadoda.