Maramla
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 588
- 648
BREAKING FROM KENYA
Mgombea Urais Nchini Kenya Raila Odinga ameshangazwa na tuhuma zilizotolewa na wapinzani wake kuwa wana mpango wa kuwa na kituo cha kuhesabia kura nchini Tanzania
Akiongea katika Mdahalo unaoendela muda huu Raila Odinga amesema Kenya inataratibu zake katika kipindi cha uchaguzi hivyo hoja hizo ni dalili za kushindwa na taarifa hizo zipuuzwe.
Mgombea Urais Nchini Kenya Raila Odinga ameshangazwa na tuhuma zilizotolewa na wapinzani wake kuwa wana mpango wa kuwa na kituo cha kuhesabia kura nchini Tanzania
Akiongea katika Mdahalo unaoendela muda huu Raila Odinga amesema Kenya inataratibu zake katika kipindi cha uchaguzi hivyo hoja hizo ni dalili za kushindwa na taarifa hizo zipuuzwe.