Raila Odinga awashangaa wapinzani wake kuhusu kujenga kituo cha kujumlisha kura Tanzania

Maramla

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
588
Reaction score
648
BREAKING FROM KENYA

Mgombea Urais Nchini Kenya Raila Odinga ameshangazwa na tuhuma zilizotolewa na wapinzani wake kuwa wana mpango wa kuwa na kituo cha kuhesabia kura nchini Tanzania

Akiongea katika Mdahalo unaoendela muda huu Raila Odinga amesema Kenya inataratibu zake katika kipindi cha uchaguzi hivyo hoja hizo ni dalili za kushindwa na taarifa hizo zipuuzwe.
 
Akishinda huyu jaluo 2020 itakuwa ngumu sana kwetu
 
Mwalimu wa Afrika wa mbinu za kushinda uchaguzi kwa hali na mali ni Tanzania. Kada mmoja wa CCM alisema siku moja hadharani kuwa CCM ina mbinu nyingi sana za kushinda uchaguzi ikiwemo ile ya Jecha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…