Raila Odinga: gharama ya maisha imesababishwa na mambo mengi

Raila Odinga: gharama ya maisha imesababishwa na mambo mengi


Video ya mwaka Jana hii akiwa anagombea Urais. Muktadha wa majibu hayo ni sababu Ruto alidai Kenyatta nchi imemshinda asisingizie COVID 19 na Ukraine Cha kushangaza Ruto amekua Rais anatumia sababu hizo hizo kujitetea kuhusu gharama za maisha.

Yaani Makamu wa Rais alikua anamlalamikia Odinga ambaye ni mpinzani. Mfano huku Mpango amlalamikie Mbowe kwa gharama za maisha 😂😂😂. Kenya Ina vituko sana.
 
Video ya mwaka Jana hii akiwa anagombea Urais. Muktadha wa majibu hayo ni sababu Ruto alidai Kenyatta nchi imemshinda asisingizie COVID 19 na Ukraine Cha kushangaza Ruto amekua Rais anatumia sababu hizo hizo kujitetea kuhusu gharama za maisha.

Yaani Makamu wa Rais alikua anamlalamikia Odinga ambaye ni mpinzani. Mfano huku Mpango amlalamikie Mbowe kwa gharama za maisha 😂😂😂. Kenya Ina vituko sana.
Fast foward- kunakilichobadilika
 
Fast foward- kunakilichobadilika
Tofauti ni Odinga hakuwa Rais ndio maana hapo kasema yeye ni mshauri tu Hana uwezo wa kumpangia Uhuru Cha kufanya. Ila Ruto alikua makamu wa Rais na akasema COVID na Ukraine sio sababu akiwa Rais ataonyesha why!!

Sasa amekua Rais ameanza kulia Lia kuwa COVID na Ukraine zinamtesa na kwamba gharama zimepanda Dunia nzima. Ila Odinga yeye alikua mpinzani na Sasa Bado ni mpinzani ila Ruto alikua serikali na Sasa ni serikali so anayeonekana failure ni RUTO sio Odinga maana hakua serikalini.

Kama kura zingepigwa Leo, basi Ruto asingepata hata 20%.
 
Tukisema wanasiasa ni watu wa ajabu sana, tulielewe hili, amesha haidiwa asali sasa amekuwa mpole na habishii tena gharama za maisha bali anageuka mwalimu mzuri kwa umma kuhusiana na kwanini gharama zimepanda.
 
Tofauti ni Odinga hakuwa Rais ndio maana hapo kasema yeye ni mshauri tu Hana uwezo wa kumpangia Uhuru Cha kufanya. Ila Ruto alikua makamu wa Rais na akasema COVID na Ukraine sio sababu akiwa Rais ataonyesha why!!

Sasa amekua Rais ameanza kulia Lia kuwa COVID na Ukraine zinamtesa na kwamba gharama zimepanda Dunia nzima. Ila Odinga yeye alikua mpinzani na Sasa Bado ni mpinzani ila Ruto alikua serikali na Sasa ni serikali so anayeonekana failure ni RUTO sio Odinga maana hakua serikalini.

Kama kura zingepigwa Leo, basi Ruto asingepata hata 20%.
unahoja
 
Back
Top Bottom