Tetesi: Raila Odinga kugombea Urais Kenya 2022 kupitia chama tawala cha Jubilee

Tetesi: Raila Odinga kugombea Urais Kenya 2022 kupitia chama tawala cha Jubilee

dyeanka

Member
Joined
Jun 19, 2016
Posts
96
Reaction score
70
RAILA Odinga anatoka katika moja ya familia maarufu kisiasa nchini Kenya. Baba yake, marehemu Jaramogi Oginga Odinga, alikuwa mmojawapo wa watu muhimu katika uwanja wa siasa nchini Kenya wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana 2017, na ndiye alikuwa mpinzani mkuu dhidi ya Rais Uhuru Kenyata ambaye alikuwa Jubilee party.

Raila amabaye alikuwa akiwakilisha upinzani kupitia chama chake cha National Supper Alliance (NASA), hivi sasa ameingia kwenye mgogogoro na washirika wake wa NASA, baada kukutana na mpinzani wake Rais Uhuru Kenyata siku chache zilizopita.


Duru za siasa nchini kenya zinaeleza kuwa huwenda Raila Odinga akapewa nafasi ya kugombea Urais nchini Kenya kwenye uchaguzi wa 2022 kupitia chama tawa cha JUBILEE,

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa baada ya ziara ya Rais Uhuru Kenyata nchini Quba, atafanya ziara nchi nzima kuwaeleza wanachi makubliano waliofikia kati ya Raila Odinga kupitia chama chake cha NASA and Serikali inayongozwa na Uhuru Kenyata.


Wasomi wengi nchini Kenya wanaamini kwamba Raila amerithi kwa kiwango kikubwa haiba ya Upinzani nchini Kenya hasa pale alikutana na Rais Uhuru Kenyata bila kushirikisha washirika wa NASA.
 
  • Thanks
Reactions: Fdt
Ni maraaa elfu waafrika tukabaki na ustarabu wetu
Haya mambo ya kuletewa na wazungu yana tugharimu sanaaaaaaaa
 
Inasemekana Raila aliwawahi wenzake akina Mudavadi kuonana na Uhuru.Siasa bhana.
 
Ni maraaa elfu waafrika tukabaki na ustarabu wetu
Haya mambo ya kuletewa na wazungu yana tugharimu sanaaaaaaaa
Mambo gani tuliyoletewa na wazungu na niupi huo ustaarabu wa mwaafrika, tunaomba utuwekee wazi zaidi.
 
inawezekana na huyu wa bongo aliomba kwenda kugombea 2025
 
Mhhhh,,ngumu kumesa,,wakati huo William Rutto atakuwa wapi?
 
RAILA Odinga anatoka katika moja ya familia maarufu kisiasa nchini Kenya. Baba yake, marehemu Jaramogi Oginga Odinga, alikuwa mmojawapo wa watu muhimu katika uwanja wa siasa nchini Kenya wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana 2017, na ndiye alikuwa mpinzani mkuu dhidi ya Rais Uhuru Kenyata ambaye alikuwa Jubilee party.

Raila amabaye alikuwa akiwakilisha upinzani kupitia chama chake cha National Supper Alliance (NASA), hivi sasa ameingia kwenye mgogogoro na washirika wake wa NASA, baada kukutana na mpinzani wake Rais Uhuru Kenyata siku chache zilizopita.


Duru za siasa nchini kenya zinaeleza kuwa huwenda Raila Odinga akapewa nafasi ya kugombea Urais nchini Kenya kwenye uchaguzi wa 2022 kupitia chama tawa cha JUBILEE,

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa baada ya ziara ya Rais Uhuru Kenyata nchini Quba, atafanya ziara nchi nzima kuwaeleza wanachi makubliano waliofikia kati ya Raila Odinga kupitia chama chake cha NASA and Serikali inayongozwa na Uhuru Kenyata.


Wasomi wengi nchini Kenya wanaamini kwamba Raila amerithi kwa kiwango kikubwa haiba ya Upinzani nchini Kenya hasa pale alikutana na Rais Uhuru Kenyata bila kushirikisha washirika wa NASA.

He say,she say...

Stori za kufikirika tu...
 
Hapa kuna kamchezo kama wa Urusi. Hivi karibuni katiba ya Kenya inabadilishwa Raila Odinga anakuwa Waziri Mkuu halafu 2022 Raila Odinga anakuwa Rais na Uhuru Kenyatta anakuwa Waziri Mkuu
 
Hii nayo kali!
Kama hiyo itajenga umoja wa kitaifa na kuvunja ukabila ni jambo jema wafanye hivyo walivyokusudia.
 
Hii ni story ya kijiweni. Siasa za Kenya ni tribal-based. Wanafanya mahesabu ya ukabila to the "T". Kumbuka palakasto Ruto anaisubiri kwa hamu nafasi ya kugombea urais. Ila nina uhakika wakikuyu watampigia mkikuyu mwenzao na kumuacha Ruto kwenye mataa. Sumu ya ukabila Kenya ni kali sana. Huyu Raila abaki huko huko NASA na waluo na washirika wenzake. Jubilee is for Kyuks and Kalees only!
 
RAILA Odinga anatoka katika moja ya familia maarufu kisiasa nchini Kenya. Baba yake, marehemu Jaramogi Oginga Odinga, alikuwa mmojawapo wa watu muhimu katika uwanja wa siasa nchini Kenya wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana 2017, na ndiye alikuwa mpinzani mkuu dhidi ya Rais Uhuru Kenyata ambaye alikuwa Jubilee party.

Raila amabaye alikuwa akiwakilisha upinzani kupitia chama chake cha National Supper Alliance (NASA), hivi sasa ameingia kwenye mgogogoro na washirika wake wa NASA, baada kukutana na mpinzani wake Rais Uhuru Kenyata siku chache zilizopita.


Duru za siasa nchini kenya zinaeleza kuwa huwenda Raila Odinga akapewa nafasi ya kugombea Urais nchini Kenya kwenye uchaguzi wa 2022 kupitia chama tawa cha JUBILEE,

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa baada ya ziara ya Rais Uhuru Kenyata nchini Quba, atafanya ziara nchi nzima kuwaeleza wanachi makubliano waliofikia kati ya Raila Odinga kupitia chama chake cha NASA and Serikali inayongozwa na Uhuru Kenyata.


Wasomi wengi nchini Kenya wanaamini kwamba Raila amerithi kwa kiwango kikubwa haiba ya Upinzani nchini Kenya hasa pale alikutana na Rais Uhuru Kenyata bila kushirikisha washirika wa NASA.
Tetesi
 
Hmm! Wakati mwingine ni vizuri kujifariji, kwani inapunguza maumivu...
 
Back
Top Bottom