Kenya 2022 Raila Odinga kuwasilisha Mahakama Kuu Pingamizi la Matokeo ya Urais leo

Kenya 2022 Raila Odinga kuwasilisha Mahakama Kuu Pingamizi la Matokeo ya Urais leo

Kenya 2022 General Election

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Aliyekuwa Mgombea wa Urais kupitia Azimio La Umoja One, Raila Odinga leo anatarajia kuwasilisha Pingamizi la Matokeo ya Urais yaliyotangzwa na Tume Huru ya Uchaguzi (IEBC) na kumpa ushindi William Ruto

Odinga akiwa na Mgombea Mwenza Martha Karua, na Kiongozi wa Wiper Party Kalonzo Musyoka walisema hawawezi kuruhusu sauti za Wakenya zifutwe

Amenukuliwa akisema “Hakuna shaka katika akili zetu kwamba watu wa Kenya walizungumza kwa sauti kubwa tarehe 9 Agosti. Sauti yao haitazimwa na ushindi wao hautapokonywa”

============

Azimio la Umoja One Kenya Coalition presidential candidate Raila Odinga has announced that the party will challenge the declaration of Kenya Kwanza flag bearer William Ruto as the president elect tomorrow (today)

Speaking at a Church service at Jesus Teaching Ministry (JTM), Donholm in Nairobi on Sunday, Mr Odinga who was accompanied by his running mate Martha Karua and Wiper leader Kalonzo Musyoka said they cannot let Kenyans voices be muzzled.

"There is no doubt in our mind that the Kenyan people spoke loudly on the 9th of August.

NATION
 
Huku president-elect Ruto na jopo la mawakili wako tayari kumvaa Raila & t-m yake kama swimming suit.
 
IMG_20220822_082251.jpg
 
Second Doctrine: Raila is so used to rejecting election results that he wouldn't do otherwise even if he actually won fairly and squarely.
 
Back
Top Bottom