BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Aliyekuwa Mgombea wa Urais kupitia Azimio La Umoja One, Raila Odinga leo anatarajia kuwasilisha Pingamizi la Matokeo ya Urais yaliyotangzwa na Tume Huru ya Uchaguzi (IEBC) na kumpa ushindi William Ruto
Odinga akiwa na Mgombea Mwenza Martha Karua, na Kiongozi wa Wiper Party Kalonzo Musyoka walisema hawawezi kuruhusu sauti za Wakenya zifutwe
Amenukuliwa akisema “Hakuna shaka katika akili zetu kwamba watu wa Kenya walizungumza kwa sauti kubwa tarehe 9 Agosti. Sauti yao haitazimwa na ushindi wao hautapokonywa”
============
Azimio la Umoja One Kenya Coalition presidential candidate Raila Odinga has announced that the party will challenge the declaration of Kenya Kwanza flag bearer William Ruto as the president elect tomorrow (today)
Speaking at a Church service at Jesus Teaching Ministry (JTM), Donholm in Nairobi on Sunday, Mr Odinga who was accompanied by his running mate Martha Karua and Wiper leader Kalonzo Musyoka said they cannot let Kenyans voices be muzzled.
"There is no doubt in our mind that the Kenyan people spoke loudly on the 9th of August.
NATION
Odinga akiwa na Mgombea Mwenza Martha Karua, na Kiongozi wa Wiper Party Kalonzo Musyoka walisema hawawezi kuruhusu sauti za Wakenya zifutwe
Amenukuliwa akisema “Hakuna shaka katika akili zetu kwamba watu wa Kenya walizungumza kwa sauti kubwa tarehe 9 Agosti. Sauti yao haitazimwa na ushindi wao hautapokonywa”
============
Azimio la Umoja One Kenya Coalition presidential candidate Raila Odinga has announced that the party will challenge the declaration of Kenya Kwanza flag bearer William Ruto as the president elect tomorrow (today)
Speaking at a Church service at Jesus Teaching Ministry (JTM), Donholm in Nairobi on Sunday, Mr Odinga who was accompanied by his running mate Martha Karua and Wiper leader Kalonzo Musyoka said they cannot let Kenyans voices be muzzled.
"There is no doubt in our mind that the Kenyan people spoke loudly on the 9th of August.
NATION