Siasa za Nchi Jirani burudani sana
Raila Odinga anasema Wakati Gachagua aliseti Mtego wa kumnasa asiingie Ikulu na Yeye RAO alitega Mtego wa Panya akiwatumia akina Joho
Sasa nani amenasa Mimi au yeye? Wananchi wakajibu " Gachagua"
Na sasa tumeitega tena hadi kieleweke! Amesisitiza Mzee Raila Odinga
Citizen tv